Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Katika mchakato wa ujenzi wa daraja la Kigamboni ambapo wadau wakubwa katika ujenzi huo ni NSSF kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania.
Hapa ni kigugumizi kwa sababu naona wanachofanya ni kutekeleza ahadi za CCM kwa kutumia fedha za watanzania wanaotegemea fedha hizo kuwasaidia baadae. Hivi kwanini NSSF isitumie fedha hizo kwa kuwakopesha wanachama wake? Jamani mwenye mawazo mbadala atujuze!
Hapa ni kigugumizi kwa sababu naona wanachofanya ni kutekeleza ahadi za CCM kwa kutumia fedha za watanzania wanaotegemea fedha hizo kuwasaidia baadae. Hivi kwanini NSSF isitumie fedha hizo kwa kuwakopesha wanachama wake? Jamani mwenye mawazo mbadala atujuze!