Mimi nauliza na ushamba wangu wa kuishi nje. Je NSSF walinunua kiasi gani jengo la THI kutoka kwa Tazara mpaka wawe na kodi ya Billion Moja kwa mwaka kwa THI. THI inadaiwa TSH 6 Billion kwa miaka mitano!!. Hilo jengo la zamani la ghorofa mbili lina thamani gani?? au wagojwa wanacheza Tennis pia