kichakorojack
Member
- Sep 19, 2011
- 78
- 12
Helo, post ya finance wameshaita, interview ingekua kesho mchana but wameipeleka j3 mchana.
Thank u mwanasesele.
Helo, post ya finance wameshaita, interview ingekua kesho mchana but wameipeleka j3 mchana.
vp Accountant & Assistant Accountant nao wameishaitwa?Helo, post ya finance wameshaita, interview ingekua kesho mchana but wameipeleka j3 mchana.
Vp posts za Accountant & Assistant Accountant wameishaitwa wadau?Helo, post ya finance wameshaita, interview ingekua kesho mchana but wameipeleka j3 mchana.
Mi kwakua accounts nilijua watu watakua weng nikaamua kufanya ya operation oficer kwakua qualification almost the same!na kama ndio wameshaita dah maisha yanazid kua magumu especially kimawazo coz nawaza sana had beyond the limit!WHY ALWAYS ME?
Jaman kama finance wameshaitwa sasa mimi ndo nshakosa ivyo. Yaan ktk wa2 1000 shortlisted mie cmo, hili c gundu jaman. Kwenye iz wanazoitajika watu wawili au wanne tutapata kwel?
Bokohalamu wala hakuna haja ya kulaumu, mara nyingi malalamiko na kukata tamaa huzuia baraka zako. Wewe kikubwa ni kumshukuru Mungu kwa kila jambo na kumuomba akusaidie. I,m telling u bahati ya mtu haizuiliki wala haipelekwi kwa mtu mwingine na kila mtu hapa duniani ana namna Mungu alivyomuandalia maisha yake kwa namna ya peke yake, na wala hawezi kukupa liliyo baya hata siku moja, kikubwa tu wewe piga sala /swala na wala usichoke kutafuta u will come to see one day and u will appreciate makuu ya Mungu.
Helo, post ya finance wameshaita, interview ingekua kesho mchana but wameipeleka j3 mchana.