NSSF chakula ya mafisadi: Dk. Dau acha usaniii, Watanzania tutakushukia kwa maandamano!

Sasa wewe nawe unaongea nini,mbona watu wengine hameleweki!? Watu wanataka kujua mustakbari wa pesa zao wewe unaleta story za jikoni,hapo NSSF hata angekuwa Pope ndiye DG kwa uhamuzi huu wa Dau angepigiwa kelele tu.
hapa hakuna hoja kuna chuki binafsi dhidi Dr Dau,ni chuki dhidi ya mafanikio yake.Jiulize kabla ya kulaumu hiko unacholalamikia yeye ndo amekiweka/amekitunga au la?
Tatizo jf siku hizi ni mkumbo kwa kwenda mbele.Mtu mmoja akilaumu wengine nao wanaiga bila ya kujua yupo sahihi au la.Hakuna yoyote anayeweza kuandamana ni kelele tu.Wenye kuandamana wanajulikana
 
Thread yako umechukulia kama vile kila mtu ni mfanyanyakazi.

Ni asilimia ngapi ya Watanzania ambao ni wafanyakazi?

Unasema wabunge wasaliti tuwashughulikie in 2015 as if hii ni nchi ya wafanyakazi.

Kama kawaida hayo mabadiliko yatapitshwa na bunge.

Na hakuna mfanyakazi hata mmoja ambaye atagoma.

Ndiyo ukweli wenyewe japokuwa unauma.
Kwa maoni yako nini kifanyike ili kurejesha fao la kujitoa?
 
huyu jamaa ni bwabwa...udini unamsumbua....pumbafuuuuuuuuuu
 
Plan A ni kuwatuma wabunge bungeni kwenda kutengua huu uozo in the coming parliamentary sessions. Hiki ni kipindi muhimu kwani tutawajua wabunge wepi ni wasaliti. Wakishindwa kuitengua hii taka mwili then kifuatacho kiwe ni mgomo usio dhaifu nchi nzima ambao kikomo chake ni kurejeshwa kwa fao letu. Halafu wale wabunge wasaliti tuwashughulikie in 2015 election. Ni ujinga kwa serikali kung'ang'ana na hela ambazo siyo zake. Hii serikali ni ma.vi kabisa..!

well said mkuu, tutafuatilia mpaka tone la mwisho la jasho letu
 
Mimi nitaenda mahakamani,naacha kazi mwezi huu lazima nichukue changu Dau anajifurahisha tu,kisa yeye kuwa bilionea kwa hela zetu kumemlevya(zingine alificha kwenye nyumba asiyokaa ,walinzi wakazikomba),lazima kieleweke la sivyo patachimbika ,hata hao ILO tutawaona asitutishe nyau,mbona mifuko mingine inatoa hayo mafao,kwani yeye kawa Mungu kujua kama wote tutafikisha miaka 55,au anataka watu wengine waje wanywee pombe hela zetu wakati tumekaa mkono wa kuume wa Mungu baba
 
Sasa tumebaki kushabikia uchaguzi ila sasa pesa za fao la kujitoa tunafanyaje?
 
dk. Ramadhani dau ni msanii, anaongea utafikiri yuko marekani.eti ilo iliweka standard ya malengo ya mafao. Tanzania ajira ni maghumashi, sekta binafsi ni mbovuu..... Unyanyasaji na ajira za mashakaaa.

Fao la kujitoa kwa nssf ni lazima kwa private sector.

Kwanza serikali kupitia wizara ya kazi ni butu... Imeshindwa yafuatayo

a - kusimamia ongezeko la mshahara kwa private sector lilitolewa kati ya mwaka 2008...

B- tucta nayo mbumbumbu

c- makampuni binafsi yameiweka serikali mfukoni, makampuni yanachangia kampeni za thiciem. Kwa hiyo makampuni binafsi ni kandamizi, saa yoyote mfanyakazi anatimuliwa kazini, jeee asubiri mafao hadi afikishe miaka 55. Atalipaje kodi ya nyumba ama kula nini achilia mbali kuugua wakati hana mshaharaa??? .... Fao la mafao kwa nssf ni lazima, ni hela zetu. .... Wewe dr. Ramadhani dau usichezee hela zetu.... Tunaungana wafanyakazi na hela zetu utatoa ku.dada.deki.

D- sasa inakuwaje wafanye mabadiliko kwa ppf na sio kwa nssf> hapa kuna jambo. Kuna njama na wiziiiiiiii.

Mambo haya sio mageni sana kwetu, hayakuanza leo. Tunakumbuka wakati Mwalimu Nyerere nchi ilipo mshinda na kungatuka mwenyewe mwaka 1985, watanzania waliku wanavaa matairi ya gari kama ndala, sio fashion bali hali hatukua na uwezo wa kutengeneza wala kuagiza ndala za kawaida. Pili watu walikua wanapanga foleni mpaka za mawe na kusubiri siku nzima kupata huduma muhimu kama unga wa sembe, sukari na maharagwe. Sio hivyo tu bidha za kawaida kama vile sabuni ya kufulia, kuogea na dawa za meno pia zilikua bidhaa za anasa. Na ukikutwa nazo unakamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi.

Rais Ally Hassan Mwinyi, alipo chukua nchi, aliondoa hali hiyo. Matokeo yake Nyerere nchi iloyo mshinda akaanza kumpiga vijembe Mwinyi, oohh sijui nchi inaendeshwa na mwanamke oooh hili oooh lile. Nakumbuka Rais Mwinyi alimjibu Nyerere uwanja wa taifa kwa kusema, ukiwa unaoga akaja kichaa akachukua nguo zako, usimfukuze, kwasababu watu hawatajua kichaa ni nani kati yenu.

Kama haitoshi, kkkt, wakatoa tamako kua nchi imejaa rushwa na inanuka. Rais aliwaita wazee wa Dar-es-salaam pale Ukumbi wa Star light, na kuwajibu Maaskofu. Kua nchi hii imejaa rushwa wanaiona leo? Pale wanachi walipo kua wanateseka kwa kukosa bidhaa adimu, yaani hata colgate ni bidhaa ya anasa wao walikuwepo wapi. Basi ya kaizar mpeni kaizar na ya mussa mpeni mussa.

Kama hilo halitoshi, Kigoma Ally Malima alipokua waziri wa elimu, alipadilisha mfumo wa kujaza mitihani ya kitaifa kwa majina na kuanzisha mfumo wa namba, hasa baada ya kuonekana kuna jamii moja katika nchi inanufaika na mfumo wa majina na jamii ya wapigania uhuru wao wanaishia la saba, na wakipenya wanaishia form four, na kama haitoshi hawavuki form six. Na wakivuka ni chini ya 12%.

Mara baada ya utekelezaji wa mpango huo, kila siku kwenye magazeti habari zikawa Kigoma Malima amejenga msikiti wizara ya elimu. Mpaka magazeti ya serekali yakawa yanaandika habari hizo. Kigoma akawaita waandishi wa habari na kuwataka waonyeshe huo msikiti. Akashangaa hata magazeti ya serekali yana weza kuandika habari za waziri bila ya kuverify. Mwisho wa siku mnajua nini kilimtokea kigoma ali malima.

Sasa hizi chochoko za Dau za dizaini hii, sio ngeni sana kwetu sisi. Pamoja na mafanikio ya shirika hilo bado watu wanatafuta doa. Sababu tu........Ramadhani Dau. Tafakari chukua hatua.
bila shaka choko choko hizi hazita ishia hapa. Inahuzunisha na kusikitisha sana. But times have changed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom