hassan kisabya
Senior Member
- Jun 14, 2014
- 165
- 109
Viongozi wa kitaifa wa NRA watafanya ziara ya kikazi katika mikoa ya kusini Kwa lengo la kukagua Kazi za chama,baadhi ya viongozi watakaokuwa katika ziara hiyo ni Mhe Rashid Mtuta -Mwenyekiti TAIFA(ambaye pia ni MBUNGE BUNGE MAALUM LA KATIBA),mhe HASSAN KISABYA(N/Katibu Mkuu Taifa na KATIBU MKUU BODI YA WADHAMINI),mhe BAKARI MAANJE(mkurugrnzi Makao makuu Mazingira) na mhe Peter Chipunga(mjumbe bodi ya chama),ziara hii itaanza tarehe 24/06 hadi 29/06/2014.
Ikumbukwe NRA Ndio chama cha kwanza kuonyesha Upinzani wa dhati ktk miaka ya 1994-95, kabla ya kifo cha mmoja wa viongozi wake mashuhuri Hayati Prof.Kighoma Ali Malima,NRA ni miongoni mwa vyama vya kwanza kusajiliwa baada tu ya kuruhusiwa Kwa mfumo wa vyama vingi,kilisajiliwa mwaka 1993,NRA inaamini katika siasa za kistaarabu,siasa zenye tija na siasa za masuluhisho na sio siasa za lawama,fujo ama siasa za chuki,SERA YETU NI "TAIFA KWANZA ,VYAMA BAADAE"
Kwa taarifa hii tunawataka wakazi wa mikoa ya kusini kujipanga kupokea sera nzuri Kwa ustawi wao na kudumisha
amani
Ikumbukwe NRA Ndio chama cha kwanza kuonyesha Upinzani wa dhati ktk miaka ya 1994-95, kabla ya kifo cha mmoja wa viongozi wake mashuhuri Hayati Prof.Kighoma Ali Malima,NRA ni miongoni mwa vyama vya kwanza kusajiliwa baada tu ya kuruhusiwa Kwa mfumo wa vyama vingi,kilisajiliwa mwaka 1993,NRA inaamini katika siasa za kistaarabu,siasa zenye tija na siasa za masuluhisho na sio siasa za lawama,fujo ama siasa za chuki,SERA YETU NI "TAIFA KWANZA ,VYAMA BAADAE"
Kwa taarifa hii tunawataka wakazi wa mikoa ya kusini kujipanga kupokea sera nzuri Kwa ustawi wao na kudumisha
amani