NOW AVAILABLE: "Majeruhi wa Mapenzi" - Pata Nakala yako sasa...

Ni Kweli hakuna kazi itakayokosa critics hasa kama hii ya utunzi, ila ku criticise kazi ya riwaya kwa kusoma utangulizi,au page moja ya kitabu si sahihi kabisa na majority wanaweza kuwa wamekalia chuki binafsi maana sisi binadamu mtu kukubali cha mwenzie huwa ngumu.Pata kopi yako soma ukimaliza toa pongezi kwa kazi nzuri au ushauri/critics kwa yale unayoona hayakwenda sawa..sio umesikia tu katoa,au umeona katoa wewe ni critics tu.halafu mwingine kwa vile mwanakijiji ni adui/mpinzani wake basi yeye ni critics tu!!
 
Nimeona kuna watu humu wanaona hiyo $13 (about sh 20,000) ni kubwa! Ili kurudisha tu gharama hii utahitaji kuuza si chini ya nakala 6,400! Si kazi ndogo sana hii.

btw unajua kuwa Mwanakijiji alikuja na maelezo haya pia?

" Kwa mfano, invoice mojawapo ya makampuni ninayozungumza nayo nyumbani kwa vitabu 5000 ni shilingi milioni 39."

Ambayo inamaanisha ni shilingi 7,800 kwa uchapaji kwa kila kitabu (5000). Na kwa bei hii ya 20,000 manake anarudisha mtaji akiuza vitabu 1,950 na sio 6,400
 
Hakuna kati yetu mwenye mamlaka ya kuwakatia watu 'fatwa' ya kile wanachopaswa na/au wasichotakiwa kufanya.......

Ala wewe huyu huyu?

Kwa nchi ambayo nusu ya watu wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku, kusema dola 13 ni kidogo, ni kutujejea, kwa sababu hiyo ni nusu ya pesa ya mwezi [bila ya kuzingatia PPP]

Kwa watu wanaoishi nje, dola 13 kwa kitabu cha riwaya ni nyingi mno, kwa sababu kwenye soko vipo vya waandishi mashuhuri na mahiri zaidi kwa bei nafuu.

Mnunuzi haelewi habari za uchapishaji, kwa sababu anajiuliza mbona waandishi wengine wanauza kwa bei nafuu?
 
Ni Kweli hakuna kazi itakayokosa critics hasa kama hii ya utunzi, ila ku criticise kazi ya riwaya kwa kusoma utangulizi,au page moja ya kitabu si sahihi kabisa na majority wanaweza kuwa wamekalia chuki binafsi maana sisi binadamu mtu kukubali cha mwenzie huwa ngumu.Pata kopi yako soma ukimaliza toa pongezi kwa kazi nzuri au ushauri/critics kwa yale unayoona hayakwenda sawa..sio umesikia tu katoa,au umeona katoa wewe ni critics tu.halafu mwingine kwa vile mwanakijiji ni adui/mpinzani wake basi yeye ni critics tu!!

Hahaha tushazoea sisi wengine... I mean ushaona watu wanafunga safari kwenda kukwea vichuguu?
 
Bila ya shaka yoyote gharama za uchapishaji kama ni hizo ni kubwa lakini mimi siwezi kuzizingatia wakati wa ununuzi kwa sababu
1. Sina uhakika kama hizo ni gharama za chini zaidi ambazo muandishi angeweza kuingia au la. Sijui. Ninakwenda na maneno yake tu. Sijui project manager wake alikuwa mzuri kiasi gani kukata gharama. Sijui.

2. Nikiambiwa kinauzwa dolar 13 Amazon, wakati huko Amazon kuna vitabu kama hivyo kwa bei ya chini zaidi, ninapata wasi wasi kuwa gharama hizo ni za kujitakia

We jamaa si mzima.fanya hivi chukua iyo dola kumi na tatu(19000tsh),gawanya kwa page 288 halafu ujue kila page itakugharimu tsh ngapi?
Je inazidi sh 65?

Hapo hujaweka gharama ya mtunzi, je sanaa yake anaiuza/itangaza pasina faida?
Muda alioupoteza katika utayarishaji je utaulipia kwa bei gani?

Gaijin unatakiwa ujipange.
 
Ni Kweli hakuna kazi itakayokosa critics hasa kama hii ya utunzi, ila ku criticise kazi ya riwaya kwa kusoma utangulizi,au page moja ya kitabu si sahihi kabisa na majority wanaweza kuwa wamekalia chuki binafsi maana sisi binadamu mtu kukubali cha mwenzie huwa ngumu.Pata kopi yako soma ukimaliza toa pongezi kwa kazi nzuri au ushauri/critics kwa yale unayoona hayakwenda sawa..sio umesikia tu katoa,au umeona katoa wewe ni critics tu.halafu mwingine kwa vile mwanakijiji ni adui/mpinzani wake basi yeye ni critics tu!!
yaani mtu alipe $ 13 kwa kununua kitabu cha mwandishi wa uchochoroni (spade is spade) wakati kuna waandishi wa ukweli na mahiri wanauza bestsellers zao kwa $12, 11, 10 or less? hoja inayotolewa hapa haihusu content per se, bali in contrast with bei. sijui kaa unaelewa huu mjadala umeanzia wapi.
 
We jamaa si mzima.fanya hivi chukua iyo dola kumi na tatu(19000tsh),gawanya kwa page 288 halafu ujue kila page itakugharimu tsh ngapi?
Je inazidi sh 65?

Hapo hujaweka gharama ya mtunzi, je sanaa yake anaiuza/itangaza pasina faida?
Muda alioupoteza katika utayarishaji je utaulipia kwa bei gani?

Gaijin unatakiwa ujipange.
ndio maana kuna 'mass production' ili ku-offset hiyo mambo. wewe ndio ukajipange.
 
Kwa taifa hili la wapenda kusoma?
Unapouza vitu kwa international market(mf amazon) uwe na nia basi ya kuuza, unavo-overprice vitu unajiondoa mwenyewe kwene ushindani..ni ushauri tu. wapo wataonunua lakini haitakua kwa bei ya ushindani bali kwa sababu wanamjua MMM, at the end mradi utacollapse tu maana hawatapatikana wateja wa kutosha, watakaotaka kununua based on merits sio kwa kumjua mtu na kumfeva watashindwa.
 
Hongera Mzee Mwanakijiji... Kwa kuongezea ilitakiwa uweke wazi kwa wasioelewa kuwa:-


  1. Mass production ya best seller ni cheap kuliko ya mtu wa kawaida; for reasons mwenye utambuzi yeyote aweza tambua.
  2. Probability ya kununuliwa kwa kitabu ni kubwa sababu vitabu vya kiswahili ni rare, and what is rare is expensive.
  3. hukatai criticism, huwa inajenga sana. Kikubwa ni anae criticise ahakikishe kasoma anacho criticise badala ya kutumia application ya assumption ya kipengele, else atakua an amateaur critic na hao wapo wa kutosha katika magazeti ya udaku.
 
Hongera Mzee Mwanakijiji... Kwa kuongezea ilitakiwa uweke wazi kwa wasioelewa kuwa:-


  1. Mass production ya best seller ni cheap kuliko ya mtu wa kawaida; for reasons mwenye utambuzi yeyote aweza tambua.
  2. Probability ya kununuliwa kwa kitabu ni kubwa sababu vitabu vya kiswahili ni rare, and what is rare is expensive.
  3. hukatai criticism, huwa inajenga sana. Kikubwa ni anae criticise ahakikishe kasoma anacho criticise badala ya kutumia application ya assumption ya kipengele, else atakua an amateaur critic na hao wapo wa kutosha katika magazeti ya udaku.
Nilikuwa nasubiri kuona bei ya kindle nione, sasa nimeamini jamaa ameamua hahaa..amepunguza tu $3. Sasa nyie apologists ndio mnatetea msichokijua. Mass-production ya kindle nayo je? FYI Mass-production ya paperback can be as hypothetically random as vitabu 400,400, 4K, 40K, 400K etc, sasa inategemea wapi unachora mstari wa 'best-selling' in terms of geographical confinement. Hivo notion kwamba mpaka uje uprint a million copy ndio bei iwe chee is just ridiculous, hakuna mtu anayejua kitabu anapokitoa kita-hit na kuwa best-seller. Selling comes in stages. Halafu u-rare gani? kiswahili cha mtaani? nunueni kwa sababu zenu binafsi lakini msilete hoja za mafungu bana !
 
Unapouza vitu kwa international market(mf amazon) uwe na nia basi ya kuuza, unavo-overprice vitu unajiondoa mwenyewe kwene ushindani..ni ushauri tu. wapo wataonunua lakini haitakua kwa bei ya ushindani bali kwa sababu wanamjua MMM, at the end mradi utacollapse tu maana hawatapatikana wateja wa kutosha, watakaotaka kununua based on merits sio kwa kumjua mtu na kumfeva watashindwa.

Point nzuri; wenye kununua watanunua wasiotaka kununua hawatanunua - that is the nature of capitalism. Unataka bei iwe ndogo zaidi ili wanunue wengi... na ndio maana kuna vitu kama discounts na hata punguzo la bei baadaye.. vyote hivi ni sehemu ya biashara. Sasa ukianza kuuza kitabu kwa dola 5 wakati wachapishaji wanakuambia minimum price yao ni dola 7 wewe ufanyeje? Kitabu hiki kuchapwa kwake ni dola 7.99; sasa nikisema kingekuwa dola 10 bado watu wangeona is too much. Vyovyote vile ilivyo hakiwezi kuuzwa chini ya dola 8 - siyo mimi ni mchapishaji kaweka hiyo bei. Well utaniambia - kwanini usiuze kwa hasara basi ili watu wengi wasio na uwezi wapate nafasi ya kusoma?

Sitakuwa na jibu.
 
Nilikuwa nasubiri kuona bei ya kindle nione, sasa nimeamini jamaa ameamua hahaa..amepunguza tu $3. Sasa nyie apologists ndio mnatetea msichokijua. Mass-production ya kindle nayo je? FYI Mass-production ya paperback can be as hypothetically random as vitabu 400,400, 4K, 40K, 400K etc, sasa inategemea wapi unachora mstari wa 'best-selling' in terms of geographical confinement. Hivo notion kwamba mpaka uje uprint a million copy ndio bei iwe chee is just ridiculous, hakuna mtu anayejua kitabu anapokitoa kita-hit na kuwa best-seller. Selling comes in stages. Halafu u-rare gani? kiswahili cha mtaani? nunueni kwa sababu zenu binafsi lakini msilete hoja za mafungu bana !

Je unajua minimum ya kukiuza kwa Kindle ni kiasi gani (bei ambayo si ya kwangu kupanga)?
 
Point nzuri; wenye kununua watanunua wasiotaka kununua hawatanunua - that is the nature of capitalism. Unataka bei iwe ndogo zaidi ili wanunue wengi... na ndio maana kuna vitu kama discounts na hata punguzo la bei baadaye.. vyote hivi ni sehemu ya biashara. Sasa ukianza kuuza kitabu kwa dola 5 wakati wachapishaji wanakuambia minimum price yao ni dola 7 wewe ufanyeje? Kitabu hiki kuchapwa kwake ni dola 7.99; sasa nikisema kingekuwa dola 10 bado watu wangeona is too much. Vyovyote vile ilivyo hakiwezi kuuzwa chini ya dola 8 - siyo mimi ni mchapishaji kaweka hiyo bei. Well utaniambia - kwanini usiuze kwa hasara basi ili watu wengi wasio na uwezi wapate nafasi ya kusoma?

Sitakuwa na jibu.
Sawa, watakaonunua mie sina tatizo nao (it is not my money nways) na na-encourage watu wakuwezeshe mukulu. Lakini watu wengine wakinunua hicho kitabu na kutoa reviews kalikali baada ya kuwa dissapointed uwe radhi pia. Najua umepiga tayari mahesabu yako na umeona hiyo bei ina-make sense kulingana na potential clientele, sikupingi ufanyacho. Najua tumekuchokonoa sana mkulu, lakini mwene kujifunza amejifunza..naishia hapa..hahaaaa.
 
nitajuaje wakati sijawahi kuuza huko, as i know naona vitabu mpaka vya $0.00 nimeshusha leo hiihii. sijajua kama policy imebadilika, labda utujuze tujuzike.

Jaribu kuuza huko; Kwa mfano naweza kurusha huko hadithi ndogo ndogo siyo full novel na nikaziweka bure (which u just gave me an idea) na unaweza kuweka sharing n.k lakini ukiamua kuuza kama kufanya biashara wao (watu wa Kindle, Lulu, Amazon na kwingine) wanakupangia minimum price kutegemeana na vigezo vyao wenyewe na aina royalty unayochagua (35% au 70%). Sasa wao wakikupangia bei kimsingi hawawezi kuuza kitabu chako under that price. Sasa unaweza ukaamua kubreak even kwa kuuza at the suggested price au unaweza kuuza kwa juu kidogo kupata kiasi kidogo.

Kwa hiyo kupanga bei ya 12.99 kwa watu wengine inaweza kuonekana ni arbitrary lakini is the most reasonable price hasa kama minimum price ni 7.99. Ukiamua kufanya baadaye discount say ya 25% ina maana kuwa kitabu kitauzwa at 9.7 au 9.99. Sasa kitabu hicho ambayo wao wamekuwa bei ya 7.99 na wewe ukakiuza kwa 9.99 (iwe ni original price or a discounted price) ina maana you will only make 2 dollars per book.

Sijui kama namake sense au bado naonekana kama ninawanyonya watu.
 
Jaribu kuuza huko; Kwa mfano naweza kurusha huko hadithi ndogo ndogo siyo full novel na nikaziweka bure (which u just gave me an idea) na unaweza kuweka sharing n.k lakini ukiamua kuuza kama kufanya biashara wao (watu wa Kindle, Lulu, Amazon na kwingine) wanakupangia minimum price kutegemeana na vigezo vyao wenyewe na aina royalty unayochagua (35% au 70%). Sasa wao wakikupangia bei kimsingi hawawezi kuuza kitabu chako under that price. Sasa unaweza ukaamua kubreak even kwa kuuza at the suggested price au unaweza kuuza kwa juu kidogo kupata kiasi kidogo.

Kwa hiyo kupanga bei ya 12.99 kwa watu wengine inaweza kuonekana ni arbitrary lakini is the most reasonable price hasa kama minimum price ni 7.99. Ukiamua kufanya baadaye discount say ya 25% ina maana kuwa kitabu kitauzwa at 9.7 au 9.99. Sasa kitabu hicho ambayo wao wamekuwa bei ya 7.99 na wewe ukakiuza kwa 9.99 (iwe ni original price or a discounted price) ina maana you will only make 2 dollars per book.

Sijui kama namake sense au bado naonekana kama ninawanyonya watu.
vitabu vya $ 5-8 vinakuwa ktk category ipi sasa? ya sharing au 'selling'?
 
vitabu vya $ 5-8 vinakuwa ktk category ipi sasa? ya sharing au 'selling'?

vinaweza hata kuwa both; lakini kumbuka ni wao Kindle ndio wanakupangia minimum price na bei hiyo wanachagua wao wenyewe. Angalia wanavyopanga hizo bei:
USD List Price Requirements
Minimum
Maximum
35 % Royalty Option
List Price
List Price
• Less than or equal to 3 megabytes
$ 0.99
$ 200.00
• Greater than 3 megabytes and less than 10 megabytes
$ 1.99
$ 200.00
• 10 megabytes or greater
$ 2.99
$ 200.00
70 % Royalty Option
$ 2.99
$ 9.99

Kitabu changu nimeambiwa bei ni lazima iwe kati ya 2.99 na 9.99; kwa bei hiyo ya sasa (Kindle) royalty ni kama USD 2.80. Hii ina maana 5.19 inaenda kwa Kindle.
 
Back
Top Bottom