Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 637
- 361
Things Fall Apart
The River Between
Kuli
The River Between
Kuli
bibi kirembwe hakuna mchawi kama yeye
mbona siipati hii!
Za skuli? Hapana hazikutuvutia kabisa, hao kina chinua Achebe na wenzake kama Ngungi wa Thiong'o tulikuwa tunawapitia kwa sababu ya Marks za darasani. Lakini bila ya kusoma zile za James Hardley Chase basi wewe ulionekana siyo Mkali. Kwa kwa za kibongo nilipenda sana ile ya "Kitanda cha Mauti" ya Hamie Rajabu kama sikosei,na zote tatu za Mzee Musiba (RIP) muhusika wake mkuu akiwa ni Willy Gamba. Kuna za mtu anaitwa Agatha Christie hizo nazo nilizipitia sana!!
mbona sijawahi kuisikia hii mkuu
mbona sijawahi kuisikia hii mkuu
Ni moja ya vitabu vilivyopigwa marufuku.
Kiliandikwa na David Mailu wa Kenya.
Lugha yake ni kali hasa; japo ujumbe ni mtamu
me sio kizazi cha nyerere bana me ni kizazi cha mkapa