Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Na mie bado natafakari hii kitu ndani ya serikali yetu>... @yahoo.com......
Mkuu ukiona barua zenye contacts za yahoo au hotmail au hizi free e mails jua ni scam, hizo wanatumia sana wanigeria.
Mbali na hilo, kama ni kweli inabidi watwambie ni kwanini wanataka kuongeza mikoa na wilaya. Kigezo cha kuongeza idadi ya mikoa na wilaya ni nini? Idadi ya watu? ukubwa wa eneo la ardhi? uwezo wa kujiendesha kiuchumi? au sababu za kisiasa?
What is wrong with mikoa iliyopo sasa? ina kasoro gani? Watu wa mkoa unaoitwa Manyara kwa sasa wamenufaika nini na kuwa mkoa, tofauti na walipokuwa mkoa wa Arusha?
Au ndio njia ya kuwatafutia watu u-RC na u-DC...
Mkuu siaimini hata kidogo kama hii ni kweli hakuna sababu yoyote ya msingi inayoweza kuingia akili kuongeza idadi ya mikoa na wilaya, labda iwe siasa tu. Naona watendaji na wafanya maamuzi kuwa effective kutaondoa hilo, hakuna sababu ya kuongeza gharama za utendaji wa serikali wakati, hizo pesa wanaweza kupewa watendaji wa sasa na kukwa na impact hiyohiyo.