Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

Na mie bado natafakari hii kitu ndani ya serikali yetu>... @yahoo.com......


Mkuu ukiona barua zenye contacts za yahoo au hotmail au hizi free e mails jua ni scam, hizo wanatumia sana wanigeria.

Mbali na hilo, kama ni kweli inabidi watwambie ni kwanini wanataka kuongeza mikoa na wilaya. Kigezo cha kuongeza idadi ya mikoa na wilaya ni nini? Idadi ya watu? ukubwa wa eneo la ardhi? uwezo wa kujiendesha kiuchumi? au sababu za kisiasa?


What is wrong with mikoa iliyopo sasa? ina kasoro gani? Watu wa mkoa unaoitwa Manyara kwa sasa wamenufaika nini na kuwa mkoa, tofauti na walipokuwa mkoa wa Arusha?

Au ndio njia ya kuwatafutia watu u-RC na u-DC...

Mkuu siaimini hata kidogo kama hii ni kweli hakuna sababu yoyote ya msingi inayoweza kuingia akili kuongeza idadi ya mikoa na wilaya, labda iwe siasa tu. Naona watendaji na wafanya maamuzi kuwa effective kutaondoa hilo, hakuna sababu ya kuongeza gharama za utendaji wa serikali wakati, hizo pesa wanaweza kupewa watendaji wa sasa na kukwa na impact hiyohiyo.
 
Wakuu wapya wa mikoa 4, wakuu wa wilaya 19. Mashangingi 23, Kujenga majengo mapya ya ofisi na nyumba za watumishi, n.k. jamani kulikoni? Ukiongezea na mawaziri wa wizara na mawaziri wadogo! Tutafika kweli. NAPING KWA NGUVU ZOTE.
 
Hapo sasa mkuu wangu na sidhani kama kuna kiongozi wetu yeyote anafahamu kwa nini Italy wamefanya hivyo!
Tatizo ni kuwa wakuu wetu wanafikiri kwa masaburi badala ya kutumia bongo, wao wanajali tu maslahi ya wachache na ya kisiasa.
 
<table class="wysiwyg_dashes wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">4.<br />
</font></span></font></td><td width="87" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Katavi</font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Mpanda</font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Rukwa</font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Mpanda</font></span></font></td></tr><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_tr"><td width="33" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000"><br />
</font></span></font></td><td width="87" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000"><br />
</font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Mlele(Mpya) </font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000">Rukwa</font></span></font></td><td width="150" class="wysiwyg_dashes_td wysiwyg_cms_table_MsoNormalTable_td" style="background-color: transparent"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><font color="#ff0000"><br />
</font></span></font></td></tr></table><br />
<br />
<br />
<font size="4">Hizi ni dalili za kuipeleka nchi babaya zaidi!We unaanzishha mkoa una wilaya mbili?what for?<br />
<br />
Mkoa mmoja,una RC,RAS,Wasaidizi km sita wa RAS,....RPC, na mabosi kibao!Ukiacha mishahara na marupurupu yao,wanahitaji nyumba.....magari...wasaidizi....<br />
<br />
Ulianzishwa mkoa wa Manyara....ukienda pale ukaona ofisi za serikali utasema kweli kodi za wananchi zimeeishia pale.Maaana kuna jengo la R.C (of about 4b construction cost) RPC(ndo wanaanza kujenga),PCCb-like 1Billion,TRA- like 1billion,Tanroads- like 2billions,Hazina-like !billion na mengine. Ni gharama kubwa kuanzisha mkoa mmoja tu! kwa hii minnne sijuhi! Labda faida ni nyingi kuliko hasara,lakini kwa umaskini huu!haifai.<br />
</font><br />
M
Sijui kumetokea nini mwanzo tuliambiwa kutakuwa na wilaya tatu, Kaliua kutokea mkoa wa Tabora ambayo sasa haipo.
 
Mkuu ukiona barua zenye contacts za yahoo au hotmail au hizi free e mails jua ni scam, hizo wanatumia sana wanigeria.

Mbali na hilo, kama ni kweli inabidi watwambie ni kwanini wanataka kuongeza mikoa na wilaya. Kigezo cha kuongeza idadi ya mikoa na wilaya ni nini? Idadi ya watu? ukubwa wa eneo la ardhi? uwezo wa kujiendesha kiuchumi? au sababu za kisiasa?


What is wrong with mikoa iliyopo sasa? ina kasoro gani? Watu wa mkoa unaoitwa Manyara kwa sasa wamenufaika nini na kuwa mkoa, tofauti na walipokuwa mkoa wa Arusha?

Au ndio njia ya kuwatafutia watu u-RC na u-DC...

Mkuu siaimini hata kidogo kama hii ni kweli hakuna sababu yoyote ya msingi inayoweza kuingia akili kuongeza idadi ya mikoa na wilaya, labda iwe siasa tu. Naona watendaji na wafanya maamuzi kuwa effective kutaondoa hilo, hakuna sababu ya kuongeza gharama za utendaji wa serikali wakati, hizo pesa wanaweza kupewa watendaji wa sasa na kukwa na impact hiyohiyo.
mkuu anuani ya Katibu Mkuu wa TAMISEMI ni ps@pmoralg.go.tz imerekebishwa.
 
Haya! Itafikia kila tarafa 2 ni wilaya, na kila wilaya mbili ni mkoa. Vilevile vitongoji 2 = na kijiji na vijiji viwili vitakuwa tarafa
 
Tatizo ni kuwa wakuu wetu wanafikiri kwa masaburi badala ya kutumia bongo, wao wanajali tu maslahi ya wachache na ya kisiasa.
Lakini pia tusiwalaumu sana kwa sababu hawa viongozi wetu ni reflection yetu sisi. Nina hakika kuna wengi wanashindwa kuona ubaya ktk jambo hili kwa sababu ndivyo tunavyoendesha maisha yetu ya umaskini ktk Ulimbukeni wa kuiga makuu.

Kwa mfano:- Nchi tajiri utamkuta tajiri akifunga ndoa kwa kutumia mamilioni ya fedha na yeye mwenyewe ana mabillioni benki, lakini njoo kwetu tutatumia Tsh millioni 20 kwa harusi wakati bwana na bi. harusi hawana hata Laki benki na pengine hata kazi hawana. Sasa unaanza kujiuliza hizo fedha kwa nini wasipewe hao maharusi wakaanzie maisha?.. au kwa nini walifunga harusi wakati wanajua hawana kazi?.. Jibu ni - Maslahi binafsi na Wao watakwambia kwani maskini haruhusiwi kuoa?, wakati tunachozungumzia ni gharama za harusi ambazo haziwajengi maharusi wala kuwapunguzia matatizo..
 
Kwa mtizamo usio wa kitaalamu (yaani wa kawaida tu), wengi wetu tunaona hatua hii dhahiri ni ufujaji wa raslimali fedha.

Inawezekana mtizamo huu wa baadhi yetu ni potofu kutokana na ujinga (ignorance) ya context ya kitaalamu kwenye haya mambo.
Kama kuna mtaalamu tunaomba atupe objective assessment yake (+ves & -ves, giving his/her verdict on which one outweighs the other).....otherwise huu mpango tutauona kama mkakati wa "wale watu wetu" kuwatafutia ma-girl friend wao kibarua.

Teach me please, I beg!
 
hivi ile thread ya gharama za kuanzia mkoa na wilaya hivi iko wapi ili tupate gharama zake..
 
Wakuu hapa ni majimbo mapya ya uchaguzi yanaandaliwa tena sehemu zile wanapodhani CCM najiweza kujitetea kulingana na watu wanaoishi huko
 
Hao hao wanalalamika kasungura chetu kadogo tugawane hivyo hivyo, halafu wanakuja wanaongeza mikoa, mawilaya huku nako si kuongeza za bure tu! Sidhani kama wananchi wanahitaji majina ya mikoa au wilaya mipya zaidi ya kuhitaji huduma za msingi, kama afya, elimu,miundombinu, siasa safi na ambayo wangepelekewa hata kwy mikoa na wilaya zao za zamani, kuliko hicho walichofanya ni kupeana zawadi na fadhira.
 
Sijui ni vigezo gani vinatumika kugawa hizo wilaya! Ukiangalia wilaya inayoitwa SERENGETI mkoani Mara, attention yote inaelekezwa mbugani tu. Ni wilaya inayosifika kwa ajili ya utalii. Na hata baadhi ya wakuu wetu wa nchi wanakimbizana huko kujenga mahoteli. Lakini ukiangalia kata zote za Tarafa ya Ngoreme kwa mfano, ambayo inahesabiwa kuwa sehemu ya wilaya ya Serengeti utadhani haipo katika ramani ya Tanzania. Vijiji vingi vimesahauliwa na macho yote yanaelekezwa mbugani tu.

Ifike wakati sasa Eneo lote la Tarafa ya ngoreme na baadhi ya vijiji vya wilaya ya Musoma vijijini vinavyopakana na tarafa hii vipewe hadhi ya wilaya. Maisha ya watu huko yanasikitisha na kuhuzunisha. Na kwa sababu ya kusahaulika, vijana wengi wanakimbilia mijini. Na kila wakati wazo hili linapotolewa, utasikia wanasiasa wanasema kuwa wilaya ya Serengeti ni mbuga tupu na idadi ya watu ni ndogo. Iwapo kweli Serikali hii inawajali wananchi wote bila ubaguzi, iwafikirie upya wananchi wa maeneo ya mbali na mbuga na hasa wa tarafa ya Ngoreme na vijiji vilivyo kandokando yake!
 
Hongera jk, wacha wapinzani wa maendeleo waseme au wabeze, kusogeza mamlaka jirani zaidi na wananchi ni muhimu sana. Hata hivyo tangu lini? Wapinzani wakapongeza kazi ya serikali iliopo itakuwa ajabu.
<br />
<br />

Kweli wewe hata akili yako inafanya kazi juu kwa juu! We huoni kuwa gharama za uendeshaji serikali zitaongezeka mara dufu? Hebu fikiria mfano ni mashangingi mangapi yatahitajika baada ya kuwa na hizo wilaya na mikoa? Hayo maendeleo unayosema kwani hayawezi kupelekwa bila sehemu hizo kuwa wilaya au mikoa? Mpaka hiyo miaka 3 iliyobaki iishe sijui tutakuwa na mikoa na wilaya ngapi? Lol! Nchi hii! Hatukawii kutangaziwa Kinondoni inakuwa mkoa na wilaya zake mpya 3 - ubungo, kawe na tegeta!
 
Back
Top Bottom