Notification inayotolewa na usalama barabarani ni jipu lingine la kutumbuliwa

GODFREY GIITI

Member
Mar 15, 2015
33
3
ukweli uko wazi kuhusu utoaji wa notification kwa makosa ya barabarani ni jipu kwa nini aiendi sambamba na risiti? inathibitisha kuwa vitabu vya notification ndivyo vinavyotumika kuchukulia pesa wakati zipo risiti azitolewi mpaka udai na kuipata mpaka utoke jasho na malanyigi madereva uachana nazo, naukitaka kujua kuwa pesa aziendi zote fanya kosa leo chukua notification kaa siku tatu nenda kituoni utakuta aijaandikwa risiti. serikali inataka mfanya biashara kutoa risiti kwa manunuzi atakayo fanya kwa nini kitengo cha usalama barabarani akibanwi kutoa risiti badala ya notification?
 
ukweli uko wazi kuhusu utoaji wa notification kwa makosa ya barabarani ni jipu kwa nini aiendi sambamba na risiti? inathibitisha kuwa vitabu vya notification ndivyo vinavyotumika kuchukulia pesa wakati zipo risiti azitolewi mpaka udai na kuipata mpaka utoke jasho na malanyigi madereva uachana nazo, naukitaka kujua kuwa pesa aziendi zote fanya kosa leo chukua notification kaa siku tatu nenda kituoni utakuta aijaandikwa risiti. serikali inataka mfanya biashara kutoa risiti kwa manunuzi atakayo fanya kwa nini kitengo cha usalama barabarani akibanwi kutoa risiti badala ya notification?
Naomba wadau kuchangia mawazo kuhusu hili ni jipu kubwa ambalo mweshimiwa raisi atajitahidi kupambana rushwa wakati kwenye vyombo vya usalama ni shida
 
Uongo huo shehe, umepigwa faini, imekuuma, badala ya kujirekebisha unaleta mboyoyo.

Labda kama hao traffic wana duplicate ya vitabu hivyo.

Ukitaka kuchezea kazi, maliza kitabu halafu pesa zake sionekane ktk ERV na cash in hand, utajitete kwa lipi?

Serikali iko macho, na ili kujengeana kuaminiana, iko mbioni kuzindua ile ya mfumo kama wa motor vehicle
 
wewe unajibu kitu usichokijua na kama unakijua basi na wewe inawezekana ukawa miongoni mwa wausika, wakati inatolewa taharifa ya mapato ya faini kwa dar es salam kama ulisikia vizuri kuwa mapato yameongezeka mara dufu baada ya kutumia mashine za kielectrnic kwa nini hizo mashine zisiletwe mikoani hasa mikoa mikuu kama mwanza na arusha? hiyo ndio hoja, kulipa faini sio vibaya tabu risiti itolewe sambamba na notification pale pale barabarani sio notification peke yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom