Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Mojawapo ya mambo ambayo yametokea leo ni kuwa baadhi ya wasomaji wangu wa Ulaya wamejaribu kuagiza kitabu cha "Majeruhi" kutokea Marekani na hivyo kujikuta wanalipa karibu mara mbili ya bei yake (wakijumlisha shipping). Naomba niwaambie kuwa Kitabu hiki unaweza kuagiza kutokea huko huko Ulaya na kupunguza gharama ya shipping.
Tafadhali tembelea hapa kuweza kuona nchi uliyopo na jinsi unavyoweza kuagiza:
AMAZON EUROPE