Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kwa walioko Jiji Dar E salaam sasa hivi, hivi note mpya tayari zipo kwenye mzunguko?
Ni kweli kwamba mzunguko huo unaweza kupunguza ugumu wa upatikanaji wa fedha uliopo hivi sasa.
Je wachumi mnasemaje,faida za uwepo wa noti hizo kwa wananchi wa kawaida ni nini?
Ni kweli kwamba mzunguko huo unaweza kupunguza ugumu wa upatikanaji wa fedha uliopo hivi sasa.
Je wachumi mnasemaje,faida za uwepo wa noti hizo kwa wananchi wa kawaida ni nini?