Noti mpya hazina ubora?

Wakuu garama halisi ya ku photocopy hizi fedha hafifu au dhoofu ni bilion 104 za kitanzania imeipiku kidogo lile dili la dowans
 
Kweli hii nchi inabidi tuikomboe sasa maana hakuna hata kilichona nafuu kila kona ni UCHAKACHUAJI TU
 
Pasco samahani kwa kutumia neno "upotoshaji"

Unavyosema walitumia rangi nyingi ili zipauke baadae una uhakika nalo? kwa hio wewe unanunuaga nguo inayochuja ili ije ipauke itulie kwenye brightness uliokuwa unaihitaji? wewe uliisikia au kuijua wapi hio tekinolojia. Je zilizopita ailikuwa the same? ni nchi gani nyingine duniani imekuwa ikutumia hio style?

Katika HIO attachment iliyotolewa na BOT hakuna sehemu wanayosema fedha zitachuja ili zije zi maintain baadae. Hayo nimeyasikia kwa mara ya kwanza kwako.

Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili naomba ku reserve any more comments on this, nina undisclosed conflict of interest na hizi noti mpya.
Samahani sana!.
 
Pasco,

Naomba uwatake radhi Wa-Tanzania;

Comments zako kwenye hiyo post ni completely mis-leading!

"..zililetwa rangi ikiwa bado mbichi..." That is very very very LOW!

Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
Thanks for notting, Kuna maswali nimemuuliza nasubiri majibu yake ya kitaalamu.


Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
Well said Nguli,nimesoma comment ya Pasco nikabaki mdomo wazi! Hiyo assumption ndio kwanza nasikia kutoka kwake.
Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
tunasubiri jibu la hii:



pili, mkuu Pasco...wewe unasema hazichaniki au hazichaniki zikiwa wet? Maana kwa kuelewa post ya Nguli Jabali...yeye anadai zinachanika...
Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
si ndo hapo...kwa hiyo tukinunua nguo zinazotoa rangi tujue ndo bora zaidi maana wameongeza rangi wakijua kuwa zitapauka...hahhahaha!
poor mans mentality...


Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
Pasco acha upotoshaji!!! hivi rangi inakuwaje mbichi kwenye karatasi kavu? Noti ikichujaa itabakiaje inang'aa? kuhusu kuchakachulika tayari police wamepokea taarifa za noti fake mpya za elfu 10.
Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.
 
Kwanza naomba ku withdraw statements zangu zote kuhusu hizi noti mpya.
Pili kudeclare my interest, mimi ni interested party kwenye hizi noti mpya japo my interest is undisclosed, hivyo naomba ku reserve any more comments on this.
Pia nachukua fursa hii, kuwaomba wote msamaha,
Samahani sana!.

afadhali umekubali mwenyewe! kwa heri...
 
Hizi noti mpya, maarufu kwa jina la bantiki, zimekuwa ni kero kubwa kwa wananchi. Tangu zitolewe yapata miezi miwili iliyopita watu wengi wamekwipata hasara kwa kubambikizwa na noti za aina hiyo zilizo bandia. Pamoja na majigambo ya Gavana Ndulu kuhusu ubora wa teknolojia iliyotumika katika kutengeneza noti hizo, ukweli ulivyo noti hizo ni bomu tupu; kiasi kwamba kwa nchi yenye bora Gavana Ndulu angelikwisha wekwa kiti moto. Kwanza zinachakaa upesi sana; pili niraisi kuigwa, na mwisho baadhi yake zinatoa rangi. Kwaajili hiyo ni vema zikaondolewa mapema kwenye mzunguko na tuombe fidia kwa walio zitengene. lkiwa mikataba yetu ndivyo hivyo, basi tukubali kuliwa kama tulivyozoea.
 
NOTI MPYA ZA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA


Noti mpya za serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania ambazo zimeanza kutumika rasmi mwezi januari mosi mwaka huu......



noti hizi kuenea kwake mitaani ni kwa kasi ndogo sana, kuna baadhi ya matawi ya benki hapa nchini zilikuwa zinatoa noti mpya kwenye ATM lakini sasa mimi benki zote ninazozitumia zinatoa noti za zamani. kwasasa hata mtaani noti zinazopatikana kwa urahisi ni zile za zamani lakini mpya utafikili wanataka kuzifuta. ndugu zetu mnaofanyia benki au wenyetaarifa kuhusu noti hizo anaweza kutujuza zaidi.
 
NOTI MPYA ZA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA


Noti mpya za serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania ambazo zimeanza kutumika rasmi mwezi january mosi ya mwaka huu.



noti mpya gafla zimekuwa adimu utafikili zenyewe ndiyo zinatakiwa ziishe na noti za zamani mbona zinaendelea kutoka mpya. ama kweli nchi hii ni shamba la bibi. mtu akijisikia anachonga dili akivuna hajali kitakacho wakuta waliowengi kwakuwa yeye kishavuna basi! nimetembelea mikoa mitatu nimeona hali ni vilevile sijui mikoa mingine lakini Morogoro, Rukwa na Iringa noti mpya zimepungua sana kwenye mzunguko ila mwanzo zilikuwepo kwa wingi gafla zimepungua. sijui noti hizo zililetwa kwa majaribio au kwa kuchukua nafasi ya zilizokuwepo!
 
NOTI MPYA ZA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA


Noti mpya za serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania ambazo zimeanza kutumika rasmi mwezi januari mosi mwaka huu......



noti hizi kuenea kwake mitaani ni kwa kasi ndogo sana, kuna baadhi ya matawi ya benki hapa nchini zilikuwa zinatoa noti mpya kwenye ATM lakini sasa mimi benki zote ninazozitumia zinatoa noti za zamani. kwasasa hata mtaani noti zinazopatikana kwa urahisi ni zile za zamani lakini mpya utafikili wanataka kuzifuta. ndugu zetu mnaofanyia benki au wenyetaarifa kuhusu noti hizo anaweza kutujuza zaidi.

hamna neno kuashilia katika kiswahili na noti haziwezi zenyewe kutaka kufutwa! Plz wana jf tuwe makini katika matumizi ya maneno ya lugha yetu adhimu ya kiswahili.
 
NOTI MPYA ZA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA


Noti mpya za serikali ya Jamhuri ya muungano Tanzania ambazo zimeanza kutumika rasmi mwezi januari mosi mwaka huu......



noti hizi kuenea kwake mitaani ni kwa kasi ndogo sana, kuna baadhi ya matawi ya benki hapa nchini zilikuwa zinatoa noti mpya kwenye ATM lakini sasa mimi benki zote ninazozitumia zinatoa noti za zamani. kwasasa hata mtaani noti zinazopatikana kwa urahisi ni zile za zamani lakini mpya utafikili wanataka kuzifuta. ndugu zetu mnaofanyia benki au wenyetaarifa kuhusu noti hizo anaweza kutujuza zaidi.
ukweli ni kwamba noti mpya ni chache mtaani kwa sababu zifuatazo
Benki kuu hawazitoi(rejea statement ya Kimei wa crdb jana ilionyeshwa kwenye TV)
Pili-ATM zina chamber 4-so benki nyingi wameshaconfigure 2 chambers kutoa noti mpya,2 kutoa noti za zamani-sasa as long noti mpya ni chache circulation inabakia kwenye zile za zamani tu-na kama ATM inatoa noti mpya-basi sometime zikiisha kwenye ATM nao wanakuwa hawana noti mpya tena-so zinabaki kutumika zile 2 chambers za noti za zamani-hata hela zikiisha kwenye ATM bado wataongeza noti za zamani tu maana ndo ambazo wanazo
 
Nilisikia wanasitisha utengenezaji kwasababu noti feki zimekuwa nyingi kuliko kawaida. Hata bank kwa sasa wanatoa zaid zile za zamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom