Kama sikosei karibu mwaka sasa Tanzania katika mzunguko kuna noti za aina mbili tofauti. Noti hizo ni Tshs. 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000 mpya na za zamani zote zinaendele kutumika, na hadi sasa sijasikia tamko la serikali kuhusu mwisho wa kutumika zile za zamani. Cha kushangaza zaidi ni kwamba, noti za zamani nazo bado zinaendele 'kufyatuliwa mpya'.
Kuna mambo mawili yananijia kichwani mwangu, inawezekana;
1. Huenda ndo mambo yetu yale ya 'Commission mlungula' au 'ten percent' (10%) na
2. Gavana wa sasa alitaka naye saini yake ionekane katika noti.
Bila shaka huu ndo udhaifu wa raisi wetu.
Nawasilisha.
Kuna mambo mawili yananijia kichwani mwangu, inawezekana;
1. Huenda ndo mambo yetu yale ya 'Commission mlungula' au 'ten percent' (10%) na
2. Gavana wa sasa alitaka naye saini yake ionekane katika noti.
Bila shaka huu ndo udhaifu wa raisi wetu.
Nawasilisha.