mpenda
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 250
- 22
Hata kama si yeye aliye wauwa lakini alikuwa anasapoti upande gani...? Ni kimbere mbere chake kilicho mpeleka kwenye nchi ambayo imeharibiwa na mabwana zake wa kimarekani na washirika wake. Alitegemea nini... kwani waAfghanistan walimwita au kumuomba msaada wake?
Nawashangaa sana hawa wanaojiita mafundamentalists wanaoishi nchi za kimagharibi wakati wenzao wanaishi kwa mateso katika nchi zao huko afghanistan na kwengineko, halafu cha ajabu wanalilia uraia na kudai haki zote za watu wa west, si warudi kwao wakajenge nchi zao na kupingana na hiyo dhuluma wanayoilalamikia???!!>?:A S 39: