Jamani hayo ni maswli ambayo huwa magamba wanayatengeza kisha wanapewa wale vimbelembele kama huyo martha mlata kuyauliza kwa ajiri ya kutaka kujiosha, na kama mmekuwa mkifuatilia waziri MIZENGWE PINDA amekuwa akiyatunia sana ktk maswala magumu ambayo pengine ingempasa awajibike, angalia ktk mngogoro wa ARUSHA walitengeza swali kama la leo na akajibu upuuzi kama wa leo. GODBLESE LEME akasimama na kusema amedanganya BUNGE na UMA WA WATZ na kumtaka awajibike kwa hilo MIZENGWE PINDA choo kikubwa kikamwijia. Kwa hiyo mambo kama haya ni kawaida kwao, wakizan watafanikisha. Mgogoro huu wa madaktari wetu anayeukuza ni MIZENGWE PINDA na serikali yake kutaka kujinufaisha wao.