NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

Jamani hayo ni maswli ambayo huwa magamba wanayatengeza kisha wanapewa wale vimbelembele kama huyo martha mlata kuyauliza kwa ajiri ya kutaka kujiosha, na kama mmekuwa mkifuatilia waziri MIZENGWE PINDA amekuwa akiyatunia sana ktk maswala magumu ambayo pengine ingempasa awajibike, angalia ktk mngogoro wa ARUSHA walitengeza swali kama la leo na akajibu upuuzi kama wa leo. GODBLESE LEME akasimama na kusema amedanganya BUNGE na UMA WA WATZ na kumtaka awajibike kwa hilo MIZENGWE PINDA choo kikubwa kikamwijia. Kwa hiyo mambo kama haya ni kawaida kwao, wakizan watafanikisha. Mgogoro huu wa madaktari wetu anayeukuza ni MIZENGWE PINDA na serikali yake kutaka kujinufaisha wao.
 
Mlata maneno na matusi yako madaktari wameyasikia na uombee usiumwe hata ukiumwa labda upelekwe India, vinginevyo sindano ya kupooza ubongo zinakusubiria.........
 
From what I see here, CCM should set aside special fund for the USELESS MLATA and her family to get all their medical service abroad. Madaktari tangazeni vita hiyo familia iking'aa tu hospitali yoyote hapa nchini.... LIWALO na LIWE.... Mpuuzi mkubwa huyo. Au ndo hizo milioni 10?
 
ukweli ni kwamba mlita mfumo wa kufikri kwake umepooza hana tofauti na kindergaten reasoning capacity. anaitaji kupewa brain wash out coz mtazamo wake hauna mashiko.
 
mlata ni mtu mwenye akili zake. hawezi kusema neno from air. anajua analolisema. madaktari wanatumwa. si bure! she is right!

Hao ndio wabunge wa CCM kazi yao ni kutumia masaburi kufikiri badala ya ubongo. Kinachotakiwa hapo ni serikali kutueleza katika makubaliano ya awali na madaktari wametekeleza yapi na bado yapi na kwanini (kama hayajatekelezwa) na ina mpango gani na kama madaktari wamekiuka makubadiliano waeleze ni wapi sio kuja na njia za vitisho za liwalo na liwe na kuteka na kuwajeruhi vibaya madaktari. Kuna haja pia katika katiba mpya kuondoa kabisa viti maalum kwa kuwa havina tija zaidi ya kutuongezea mzigo walipa kodi. Mlata inatakiwa pia athibitishe kauli yake!!
 
Mheshimiwa Mlata ahujiwe na Police kwani inaonyesha anajua mengi so ni shahidi muhimu hahahahah!

Polisi wa kumhoji ndio kama yule aliyekutwa chooni anapiga simu kwamba Dr. Ulimboka hajafa? Labda baade sana, kwa sasahivi integrity ya jeshi la polisi iko kwenye hatihati.
 
mtu anayepata ubunge kwa ajili ya kukata viuno majukwaani wakati wa kampeni unategemea ataongea nini cha maana...!!!.. ihate Viti Maalum....
 
mtu anayepata ubunge kwa ajili ya kukata viuno majukwaani wakati wa kampeni unategemea ataongea nini cha maana...!!!.. ihate Viti Maalum....

Mbona mnatoka povu kama sio kweli? Mnaipa nguvu hii dhana.
 
Huyu mama usiku wa kuamkia leo alikuwa amelala chumba kimoja na WASSIRA hapa ST GASPER kwa unaweza pata picha ya alichotapika leo na alichofanyiwa jana usiku na mzee wa GOMBE.
 
hakuna anaejua ukweli juu ya hili zaidi ya hao waliolifanya,na jeshi la polisi hawawezi kuibua ukweli juu ya hili maana na wao ni binaadam na wanakosew so cha msingi ni kutafuta njia rahisi ya kuvumbua ukweli maana hata mimi siliamini hili jeshi la polisi
 
Back
Top Bottom