aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,499
Mbona hakjmuuliza alilosema kuna vijana wamemaliza degree wanavuta ganja mitaani.
si unajua ndumu inagusa kila familia yani kama HIV..........!!
Mbona hakjmuuliza alilosema kuna vijana wamemaliza degree wanavuta ganja mitaani.
Vijana si bomu tu bali ni WMD na limeanza kuvuja na taifa limeanza kuvuta sumu yake. Haka kakauli nimekapenda. Vijana wasio na ajira ni kweli ni weapon of mass destruction.Anawatetea wamachinga wasisumbuliwe na anataka tume iundwe kuchunguza madhara ya vurugu za Mbeya Mjini