Hii nchi ina maajabu sana!!
UmejuajeAtakaye kupa dili la kukuuzia vitu vya wizi ni mjinga! Maana unaweza kuwa wewe unatafuta wezi ili uwakamate
Inawezekana huyo jamaa anafanya kazi kwenye kiwanda mojawapo cha nondo au cement na labda kuna wizi ambao wameshindwa jinsi ya kubaini. Njia mojawapo ni kutangaza hichi kitu, then mtu anaweza kujitokeza na akamuuzia baadaye akakamatwa. Huo ni ujanja ujanja!Umejuaje
teh teh tehInawezekana huyo jamaa anafanya kazi kwenye kiwanda mojawapo cha nondo au cement na labda kuna wizi ambao wameshindwa jinsi ya kubaini. Njia mojawapo ni kutangaza hichi kitu, then mtu anaweza kujitokeza na akamuuzia baadaye akakamatwa. Huo ni ujanja ujanja!
kama wewe mwizi usidhani wote tuna tabia kama yako
hakika...wewe sio mwizi mkuu?
hakika...