afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Ama kweli maskini hana chake. Tusio na kitu tusitegemee kupata wenza kutoka nyumba hii.
Khaaaa
jamani wewe
mbona waungilia
Yasiyo kuhusu kabisa..
Embu soma vizuri nilichoandika
Nimesema huyo kijana alikuwa anakufanyia bisho..