TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Yeye anajiita "Non-Celebrity" akiwa na maana kuwa yeye sio mtu maarufu. Ameniomba nimuwekee hadharani nia yake ya kutafuta mchumba katika jamvi la WanaJF. Kwa kifupi amesema yeye anafanya kazi ambayo inamuwezesha na itaendelea kumuwezesha kukidhi mahitaji yake na ya wale wote wanao na watakaokuwa wanamtegemea.
Masharti yake kwa mchumba anayemuhitaji ni haya yafuatayo:
1. Awe muungwana pia awe na utu wa kujali wengine,
2.Awe mcha Mungu,
3.Awe na heshima kwa wakubwa na wadogo,
4.Awe amejiridhisha kuwa ni msichana asiyependa makuu na mrembo mbele ya wacha Mungu,
5.Awe tayari kuwa mwaminifu katika maisha yake yote kwa Non-Celebrity kama Non-Celebrity atakavyokuwa mwaminifu kwake pia,
5.1 Awe tayari kifikra kukabiliana na hali atayomkutanayo Non-Celebrity, na
6.Awe tayari kuishi maisha ya Kikristo.
Kwa maelezo zaidi unaweza kunitumia sms kupitia JF kwa kutumia " my username MpigaKelele"
Masharti yake kwa mchumba anayemuhitaji ni haya yafuatayo:
1. Awe muungwana pia awe na utu wa kujali wengine,
2.Awe mcha Mungu,
3.Awe na heshima kwa wakubwa na wadogo,
4.Awe amejiridhisha kuwa ni msichana asiyependa makuu na mrembo mbele ya wacha Mungu,
5.Awe tayari kuwa mwaminifu katika maisha yake yote kwa Non-Celebrity kama Non-Celebrity atakavyokuwa mwaminifu kwake pia,
5.1 Awe tayari kifikra kukabiliana na hali atayomkutanayo Non-Celebrity, na
6.Awe tayari kuishi maisha ya Kikristo.
Kwa maelezo zaidi unaweza kunitumia sms kupitia JF kwa kutumia " my username MpigaKelele"