nokia

AMINATA 9

JF-Expert Member
Aug 6, 2011
2,120
641
mganga huyu kanifuraisha sana loh!
nokia.jpg
 
Kaah! Waganga nouma.ungesikia mizimu inataka chips kuku na tomato kwa mbaaari,pia ulete na paketi moja ya sigara sm na kibiriti cha gesi kwa ajiri ya kuchanganyia dawa.bila kusahau kuku mweupe,bia mbili aina ya tusker hii tutatumia kufukuzia mapepo machafu yanayo kuandama, si unajua mapepo hayapendi pombe?
 
Kaah! Waganga nouma.ungesikia mizimu inataka chips kuku na tomato kwa mbaaari,pia ulete na paketi moja ya sigara sm na kibiriti cha gesi kwa ajiri ya kuchanganyia dawa.bila kusahau kuku mweupe,bia mbili aina ya tusker hii tutatumia kufukuzia mapepo machafu yanayo kuandama, si unajua mapepo hayapendi pombe?

hahahaha dah kaka umeua huku lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom