mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 10, 2011 #1 Natafuta hii simu ya mtumba,kama kuna mdau tufanye business
Zasasule JF-Expert Member Aug 12, 2009 1,001 103 Mar 10, 2011 #3 mojoki said: Natafuta hii simu ya mtumba,kama kuna mdau tufanye business Click to expand... mzee nitakupm,nitakupa na no ya cmu,uwasiliane na jamaa.the phne iko powah na iko great condition.
mojoki said: Natafuta hii simu ya mtumba,kama kuna mdau tufanye business Click to expand... mzee nitakupm,nitakupa na no ya cmu,uwasiliane na jamaa.the phne iko powah na iko great condition.
Lepapalongo Member Jan 28, 2009 92 11 Mar 10, 2011 #4 kuna jamaa anazokibao ila yupo Moro ni used za mtn.
BinMgen JF-Expert Member Jun 18, 2008 1,854 262 Mar 10, 2011 #5 Lepapalongo said: kuna jamaa anazokibao ila yupo Moro ni used za mtn. Click to expand... Mmh! mkuu angalia vizuri, N97 used zimefika Tz tena kibao? cjui, tahadhari na chines fone.
Lepapalongo said: kuna jamaa anazokibao ila yupo Moro ni used za mtn. Click to expand... Mmh! mkuu angalia vizuri, N97 used zimefika Tz tena kibao? cjui, tahadhari na chines fone.
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Mar 10, 2011 #6 hizo cm kuwa mwangalifu kama uzijui vzuri mana mchina katoa zake azinatofauti kabisa na org yani utofautishi. alafu hii post ilitakiwa jukwaa la matangazo
hizo cm kuwa mwangalifu kama uzijui vzuri mana mchina katoa zake azinatofauti kabisa na org yani utofautishi. alafu hii post ilitakiwa jukwaa la matangazo
mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 10, 2011 Thread starter #7 Zasasule said: mzee nitakupm,nitakupa na no ya cmu,uwasiliane na jamaa.the phne iko powah na iko great condition. Click to expand... zasasule I'm waiting for you bro give me some details
Zasasule said: mzee nitakupm,nitakupa na no ya cmu,uwasiliane na jamaa.the phne iko powah na iko great condition. Click to expand... zasasule I'm waiting for you bro give me some details
mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 10, 2011 Thread starter #8 drphone said: hizo cm kuwa mwangalifu kama uzijui vzuri mana mchina katoa zake azinatofauti kabisa na org yani utofautishi. alafu hii post ilitakiwa jukwaa la matangazo Click to expand... nimekusoma vyema daktari
drphone said: hizo cm kuwa mwangalifu kama uzijui vzuri mana mchina katoa zake azinatofauti kabisa na org yani utofautishi. alafu hii post ilitakiwa jukwaa la matangazo Click to expand... nimekusoma vyema daktari
G Gerrie Member Apr 29, 2011 7 1 May 12, 2011 #9 moro wapi morogoro or mtaa wa moro dar tupe no ya anayeuza cm hizo tuweze kuwasiliana naye weka no zake wazi tufanye biashara
moro wapi morogoro or mtaa wa moro dar tupe no ya anayeuza cm hizo tuweze kuwasiliana naye weka no zake wazi tufanye biashara