Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sijui ni makusudi au ndo kichwangumu ,ninavyojua unapouza kitu unatakiwa unaseme ni kitu gani,aina (model),kama ni kipya au kimetumika,kina tatizo au hakina,bei ,specs n.k,sometimes wanauzi sana hawa wasiotaja bei utafikiri ni siri za serikaliWeka bei kabisa mkuu kabla hatujakupigia simu. Mbona watu mnakuwa wagumu kujifunza jinsi ya kupost matangazo humu. Aaaagrrr!