ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Samahani wadau,Iphone 5 imeshaingia sokoni?Kama ipo Inapatikana kwa bei gani Ulaya na Eastern Asia?
Samahani wadau,Iphone 5 imeshaingia sokoni?Kama ipo Inapatikana kwa bei gani Ulaya na Eastern Asia?
nakunbua kipindicha s60 wahindi ndio walio kua wakitazamwa sana na Nokia mpaka nokia hawakuwahi toa simu yenye namba 4 kwenye model No.
mfano kuna
Nokia N91,N92,N93,N95,N96,N97 hakuna N94 kwasababu Number 4 kwa wahindi ni unlucky Number, lakini sasa ana komaa na wamarekani na wadhungu wa urope na kukusahau wateja wake wa zamani.
Kama Nokia wakielekeza nguvu nchi za China, Brazil na India watapata mafanikio makubwa kuliko huko wanakoenda. sisi waaffrika ndo tusubiri mpaka Lumia nzingine zitoke ndo tununue hiyo 920 ikishukabei, nokia wajipange vizuri waje na low WP8 devices kwa waafrika
Nashauri waje na lumia yenye
screen 3.2", 3.5" au 3.7"
processor 1GHz
RAM 512
storage 4GB
Camera 5MP
Card slot
watoe haya mavitu waafrika hayatusaidii
NFC,4G na LTE,BLUETOOTH 4(2.1 kwetu inatosha) WIRELESS CHARGING,VIDEO ZA 1080p(720p inatutosha), PUREVIEW, GLONASS (A GPS inatutosa),HTML5(HTML inatosha),HD+(Nokia clear black inatosha) na HSDPA 42Mbps (7.2Mbps inatosha kwanza mitandal yetu hawajui kama kuna 42Mbps)
hapo watatushika waafrika
mkuu naona umedhamiria kuipata
mbona galaxy kazidi mkuu... Then ukiuza n unayotumia now utafanikisha
Je ni kweli inauzwa kwa bei ya punguzo na Vodacom Tanzania?
Yah well said said mkuu huo ndo mpango mzima
Samahani wadau,Iphone 5 imeshaingia sokoni?Kama ipo Inapatikana kwa bei gani Ulaya na Eastern Asia?
tatizo bei mimi mpaka nikusanye mshahara wa miezi sita ndo niweze kununua
ndo wale wale tu wote lao moja wanataka wanunue wadhungu tu, eti wana srma "MADE FOR HUMANS" sasa sisi waafrika wenye hali ngumu ndo wanatuletea vile vidudu pocket
Nimewatumia E-mail juu ya kututenga sisi wateja wa Afrika na Asia Kati. Wakinipa majibu nitayaleta hapa, kwa kawaida, wanatoa majibu baada ya masaa 24-48.
Am not a Nokia fan, but i wish to try out this phone nione touch screen response..
duh naona kwenye specs amemkimbiza apple
nakunbua kipindicha s60 wahindi ndio walio kua wakitazamwa sana na Nokia mpaka nokia hawakuwahi toa simu yenye namba 4 kwenye model No.
mfano kuna
Nokia N91,N92,N93,N95,N96,N97 hakuna N94 kwasababu Number 4 kwa wahindi ni unlucky Number, lakini sasa ana komaa na wamarekani na wadhungu wa urope na kukusahau wateja wake wa zamani.
Kama Nokia wakielekeza nguvu nchi za China, Brazil na India watapata mafanikio makubwa kuliko huko wanakoenda. sisi waaffrika ndo tusubiri mpaka Lumia nzingine zitoke ndo tununue hiyo 920 ikishukabei, nokia wajipange vizuri waje na low WP8 devices kwa waafrika
Nashauri waje na lumia yenye
screen 3.2", 3.5" au 3.7"
processor 1GHz
RAM 512
storage 4GB
Camera 5MP
Card slot
watoe haya mavitu waafrika hayatusaidii
NFC,4G na LTE,BLUETOOTH 4(2.1 kwetu inatosha) WIRELESS CHARGING,VIDEO ZA 1080p(720p inatutosha), PUREVIEW, GLONASS (A GPS inatutosa),HTML5(HTML inatosha),HD+(Nokia clear black inatosha) na HSDPA 42Mbps (7.2Mbps inatosha kwanza mitandal yetu hawajui kama kuna 42Mbps)
hapo watatushika waafrika
Nokia led the Windows Phone 8 assault with two high-end parts - the Lumia 920 and 820 - with rumors that mid- and low-end parts will launch early next year. The first of these devices to enter the rumor mill was the Zeal with cut down 820 specs, now there's the Flame.
According to The Verge, the Nokia Lumia Flame will be a Windows Phone 8 device with a 4" screen (judging by the 820, it will likely have WVGA resolution). The chipset is said to be the same one as in the Zeal - dual-core 1GHz processor and 512MB RAM.
Other known specs on the Flame is a 5MP camera and 4GB of built-in storage with a microSD card slot
ungekua hujui kiswahili ningesema unafanya kaz nokia