kalendi JF-Expert Member Mar 17, 2012 1,327 521 Apr 12, 2012 #2 Hebu fafanua vizuri mbona hueleweki. Kuhusu Nokia E5
LOOOK JF-Expert Member May 17, 2011 3,389 672 Apr 13, 2012 Thread starter #3 Yaani inahitajika kwa mwenye nayo aniuzie iwe nzima bado na iwe haina software failure yeyote ile
kalendi JF-Expert Member Mar 17, 2012 1,327 521 Apr 14, 2012 #4 LOOOK said: Yaani inahitajika kwa mwenye nayo aniuzie iwe nzima bado na iwe haina software failure yeyote ile Click to expand... Mimi nipo maeneo ya Kibaigwa-Dodoma. Ninayo hiyo E5 nimeinunua mwezi wa febr. Kama utakuwa bado hujapata nitaarifu
LOOOK said: Yaani inahitajika kwa mwenye nayo aniuzie iwe nzima bado na iwe haina software failure yeyote ile Click to expand... Mimi nipo maeneo ya Kibaigwa-Dodoma. Ninayo hiyo E5 nimeinunua mwezi wa febr. Kama utakuwa bado hujapata nitaarifu
RGforever JF-Expert Member Apr 3, 2011 6,878 5,424 Apr 14, 2012 #5 kalendi said: Mimi nipo maeneo ya Kibaigwa-Dodoma. Ninayo hiyo E5 nimeinunua mwezi wa febr. Kama utakuwa bado hujapata nitaarifu Click to expand... Unauzaje Mkuu.
kalendi said: Mimi nipo maeneo ya Kibaigwa-Dodoma. Ninayo hiyo E5 nimeinunua mwezi wa febr. Kama utakuwa bado hujapata nitaarifu Click to expand... Unauzaje Mkuu.
ofisa JF-Expert Member May 15, 2011 4,134 3,757 Apr 14, 2012 #6 LOOOK said: Mada hapo juu Click to expand... ninayo naipenda what is so special ili nivienjoy nayo nna whatsap ,m chat ,opera,fb,na theme kibao nifute ila tukubaliane tsh 320000
LOOOK said: Mada hapo juu Click to expand... ninayo naipenda what is so special ili nivienjoy nayo nna whatsap ,m chat ,opera,fb,na theme kibao nifute ila tukubaliane tsh 320000
LOOOK JF-Expert Member May 17, 2011 3,389 672 Apr 16, 2012 Thread starter #7 Nshapta wakuu nsha uziwa na mdau humu.