mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 25, 2012 #1 Bei 230,000 Simu used lakini sawa na mpya...imetumika wiki moja tu
stephot JF-Expert Member Mar 1, 2012 15,825 22,930 Mar 26, 2012 #2 Nina laki moja,kama ina lipa ni pm.hata leo tunaweza kufanya biashara.
mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 28, 2012 Thread starter #3 stephot said: Nina laki moja,kama ina lipa ni pm.hata leo tunaweza kufanya biashara. Click to expand... Go to Hell
stephot said: Nina laki moja,kama ina lipa ni pm.hata leo tunaweza kufanya biashara. Click to expand... Go to Hell
stephot JF-Expert Member Mar 1, 2012 15,825 22,930 Mar 28, 2012 #4 Acha jazba kaka biashara haiendi hivyo.
Hebrew JF-Expert Member Jul 3, 2008 559 167 Mar 28, 2012 #6 Ya kichina au ya ulaya? mojoki said: Go to Hell Click to expand... ee kama ni hivi basi hutaiuza!!
DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Mar 29, 2012 #7 Weka namba ya simu mkuu tuwasiliane. Au umeshaiuza ?!
mojoki JF-Expert Member Oct 21, 2010 1,314 290 Mar 30, 2012 Thread starter #8 imeshauzwa ndugu wananchi