kama ndo hyo bei iko juu mkuu! nnazo mpya nauza 130000/=...model ni 200 bei laki ishirini
nokia asha inauzwa kwa bei nzuri.. bei yake ni Tsh120000/= ni used imetumika mwezi moja tu. kama unataka kununua piga simu no;0778005506.asante
Ndugu Ifams,
hizo nokia Asha 200 zipo za rangi tofauti tofauti nne. Je yako ni ya rangi gani? unapatikana wapi? unazo ngapi? Nipo Morogoro wewe wapi?
Mi naitaja puple
we scofied sasa hii post yangu imekua mnada kwako au si uandike yako?