Wakuu habari za kazi,poleni na majukumu.
Naombeni msaada kuhusu simu yangu naona imenigomea kimtindo
gafla tu nashangaa imeniandikia phone restricted,sasa ukibonyeza Undo Inaniambia ni enter restriction code,plz yeyote anayeweza kunisaidia.
Nawasilisha
poa mkuu ngoja niangalieembu jaribu kusoma hapa unaweza ukapata pa kuanzia mkuu.Unlocking4U - Unlocking the Nokia 5310 XPRESSMUSIC mobile phone
Naomba usiitupe. Nipe mimi...Halaf hz simu za kijinga sana. Cku zikiamua kugoma zinagoma kweli. Mi yangu natamani niitupe.
Halaf hz simu za kijinga sana. Cku zikiamua kugoma zinagoma kweli.
Mi yangu natamani niitupe.
kaka umenichekesha sana,ila kanunue hzo batani zinauzwa 9000husniyo hamna wangu,mimi nnavyo zijua hizi simu taabu yake huwa ni housing tu yaani unakuta zile batani za kushoto za musik ndizo huwa zina haribika upesi. mimi yangu hapa nimeifunga na rababendi lakini mawasiliano,internet ni kama kawa. jf full time nipo online.kama vipi nipe mimi hiyo simu nitakupoza na pei kidogo.
kama unaitaka tufanye biashara. Unanipoza sh ngapi?husniyo hamna wangu,mimi nnavyo zijua hizi simu taabu yake huwa ni housing tu yaani unakuta zile batani za kushoto za musik ndizo huwa zina haribika upesi. mimi yangu hapa nimeifunga na rababendi lakini mawasiliano,internet ni kama kawa. jf full time nipo online.kama vipi nipe mimi hiyo simu nitakupoza na pei kidogo.
hahahaha! Ngoja nimuuzie slave. Akizingua nitakupa bure. Sawa eeh?Naomba usiitupe. Nipe mimi...
sasaa!embu tupange bei.mimi nitakupoza na mazza juice bariiiidi kisha na elfu 10.000 juu.mmc yako utatoa na betri lako pia utatoa.kama unaitaka tufanye biashara. Unanipoza sh ngapi?
Izime then bonyeza * , 3 na batan ya kijani kwa wakat mmoja bila kuachia then iwashe hadi iwake ndo uachie hzo batan.Wakuu habari za kazi,poleni na majukumu.Naombeni msaada kuhusu simu yangu naona imenigomea kimtindogafla tu nashangaa imeniandikia phone restricted,sasa ukibonyeza Undo Inaniambia ni enter restriction code,plz yeyote anayeweza kunisaidia.Nawasilisha