wmakishe
Member
- Jan 18, 2011
- 59
- 53
Naiuza NOAH kwa bei ya Tzs 9.5 million tu. iko ktk hali nzuri sana. Ni mali yangu na ninaitumia mimi mwenyewe kwa kuenda ofisini na kurudi home hapa Dar. haifanyi (haijawahi kufanya) biashara ya kubeba abiria. Namba zake BHT (bahati hiyo), ni nyeupe, imetengenezwa Japan (sio China) mwaka 1999, function zote ziko OK! Iwahi mapema kama unaitaka. Mimi sio Dalali , gari ni langu. Ni PM kama unataka NOAH !