M Mwana Mnyonge JF-Expert Member Mar 3, 2011 518 448 Jun 22, 2011 #1 ndugu zangu kwa mwenye taarifa anaweza kutujuza kama hawa jamaa wa national audit office wameshaanza kuita watu au bado tusubilie naomba kuwasilisha
ndugu zangu kwa mwenye taarifa anaweza kutujuza kama hawa jamaa wa national audit office wameshaanza kuita watu au bado tusubilie naomba kuwasilisha
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,005 10,632 Jun 22, 2011 #2 Ni NAO mkuu,nafikiri bado.Kwa kawaida watakuja kushortlist na kuwasiliana na wataopenya.
Charles Mtekateka JF-Expert Member Feb 13, 2009 317 89 Jun 22, 2011 #3 Nadhan wamemaliza kushort list subili cku c nying watatoa majina ya walioshortlisted... angalia magazeti ya serikali na hasa dailynews ya next week
Nadhan wamemaliza kushort list subili cku c nying watatoa majina ya walioshortlisted... angalia magazeti ya serikali na hasa dailynews ya next week
semango JF-Expert Member Aug 24, 2010 532 45 Jun 23, 2011 #4 NAO hawahusiki katika zoezi la kuajiri, wanaohusika ni sekretarieti ya ajira ktk utumishi wa umma
G Gerald David Member Nov 2, 2010 10 0 Jun 23, 2011 #5 Tembelea President's Office - Public Service Management huwa wanupdate pale kuhusu hzo post!
M Mwana Mnyonge JF-Expert Member Mar 3, 2011 518 448 Jun 26, 2011 Thread starter #6 nashukuru sana ndugu zangu kwa michango yenu
amaketa Member Sep 22, 2009 5 0 Jun 26, 2011 #7 Jamani mtujulisha as soon as you get information za shortlisted candidates!