No single Woman TRA Management!

..50/50 gender balance?...sounds like affirmative action!

..kitu cha muhimu ni kwa wakina mama wenyewe kujibidiisha kuondoa tabia iliyopo miongoni mwa wengi wao ya kungoja kupokea!watafute!watapata!hasa katika nyanja za shughuli za maendeleo!

..tukilenga kufanya mlinganisho wa lazima tutakuwa tunakosea!kitu sahihi ni kushawishi,kusomesha,na kuwawezesha kina mama kujitegemea zaidi!

..it must be a cultural revolution!
Nadhani hii mada ni pana sana.Ila naona 50/50 representation bado ni ngumu kwa sababu kadhaa, lakini nitadokeza mojawapo ya sababu ambayo naona ni kubwa.
1.Majukumu/matazamo wa familia
Akina mama ndiyo wana reproductive potential.Hili ni jukumu muhimu sana na linachukua sehemu kubwa ya muda wa akina mama katika ujauzito na malezi,hivyo kubaki nyuma katika masuala ya kazini, particularly kwa zile office ambazo ni labor intensive.At the end of the day wanabaki nyuma katika promotion pia.

Kuna evidence kwamba good number ya wanawake wanaogangamaa na ofisi, wanajikuta nyumba zao zinayumba kwa namna moja au nyingine au kusambaratika kabisa. Hivyo inabidi waegemee zaidi upande wa pili..kama mama lao alivyoiweka kwamba cv wanazo "lakini wanazilalia".

Nadhani wengi wamenafuatilia ktk nchi za wenzetu ambapo kuna declining population growth, sababu kubwa ni kazi.Kwamba mtu anasacrifice familia kwa kazi, maana viwili hivyo vinakinzana na kwamwe haviendi pamoja.Baadhi ya nchi zilizoathirika zaidi kwa hili ni ujerumani na sasa hivi japan.

Labda kwa nchi kama yetu,yaya anaweza kuchukua nafasi ya mama,hivyo akajizatiti zaidi kazini. Lakini sina uhakika akina mama wanalichuliaje hili la yaya kuchukua jukumu la malezi ya familia.
Kabla ya kuendelea na sababu nyingine ningependelea mama lao et al mtupe mwanga kwenye hili kwanza.
 
Dhambi ya ubaguzi inatutafuna kidogo kidogo... tulisema TRA kuna ukabila ( Uchaga) baadae kuna udini (ukristo) sasa ujinsia....

The next one pls....
 
Siku zote watu wanaokosa hoja, huwa wanaanza kutumia jinsia, dini, then ukabila. Sijui kama ni hoja za maana. La muhimu ni kuwa ni vizuri zaidi kama uwezo na elimu ndio viwe determinant na sio jinsia ya mtu, au dini yake.
Soon tutaanza kusikia mbona Tanzania haijawahi kuwa na rais mwanamke, au PM mwanamke, au CDF mwanamke. In my opinion rights persons(those who qualify) na right moments (regardles of what is between their legs) ndio dertermnitants.
 
Kingine ni kuwa "gender sensitive" of which most of us are not. (Including both men and women of course). Na ukimkuta mtu mume au mke ambaye ana "gender eye" utaona mabadiliko.
Mfano ni huyu mama Blandina Nyoni....kila anapokwenda huwa analifanyia kazi hilo. Ona sasa huko maliasili kuna wanawake kama watatu hivi wameukwaa u -director na u-asst director.
Hapo TRA naona labda watu wamekaa tu hawako gender sensitive...wanaona it is ok.

Bongolander ...kuwa gender sensitive siyo kukosa hoja.
I am sure kuna watu wengi bado wanafikiri kwamba wanawake kazi yao ni kukaa jikoni tu.
 
Kingine ni kuwa "gender sensitive" of which most of us are not. (Including both men and women of course). Na ukimkuta mtu mume au mke ambaye ana "gender eye" utaona mabadiliko.
Mfano ni huyu mama Blandina Nyoni....kila anapokwenda huwa analifanyia kazi hilo. Ona sasa huko maliasili kuna wanawake kama watatu hivi wameukwaa u -director na u-asst director.
Hapo TRA naona labda watu wamekaa tu hawako gender sensitive...wanaona it is ok.

Bongolander ...kuwa gender sensitive siyo kukosa hoja.
I am sure kuna watu wengi bado wanafikiri kwamba wanawake kazi yao ni kukaa jikoni tu.

What about kuwa Religious & Tribalism sensitive?
 
Siku zote watu wanaokosa hoja, huwa wanaanza kutumia jinsia, dini, then ukabila. Sijui kama ni hoja za maana. La muhimu ni kuwa ni vizuri zaidi kama uwezo na elimu ndio viwe determinant na sio jinsia ya mtu, au dini yake.
Soon tutaanza kusikia mbona Tanzania haijawahi kuwa na rais mwanamke, au PM mwanamke, au CDF mwanamke. In my opinion rights persons(those who qualify) na right moments (regardles of what is between their legs) ndio dertermnitants.

Bongolander,
Sii dhambi kutoa hoja kuwa kati ya 13 members wa management ya TRA- je mbona hamna hata mwanamke mmoja? Hoja yangu ni is this fair? Ndo tunajadili- hata mimi sina majibu.

Kumbuka kuwa Faculty of Commerce and Management- UD and MU na kwingineko wamekuwa pia wakigraduate wanawake tangu 1970s! Leo ni 2007 over 35 years- je vipi inawezekana kweli in Managemnt of TRA hakuna hata mwanamke mmoja? Why? I think regardless of whatever reasons- it is not fair!

Mimi naona hii ni hoja tosha! Sijui wengine wanasemaje- let the discussion continue.
 
lazima tukubali kitu kimoja kwamba kuna watu (both male and females ) wamezaliwa GENDER BLIND! Yaani hili kundi hata ulisomeshe vipi halitakuelewa na pia humu JF watakuwepo. Kwa matazamo huu ni lazima tutapishana lugha!
 
Kingine ni kuwa "gender sensitive" of which most of us are not. (Including both men and women of course). Na ukimkuta mtu mume au mke ambaye ana "gender eye" utaona mabadiliko.
Mfano ni huyu mama Blandina Nyoni....kila anapokwenda huwa analifanyia kazi hilo. Ona sasa huko maliasili kuna wanawake kama watatu hivi wameukwaa u -director na u-asst director.
Hapo TRA naona labda watu wamekaa tu hawako gender sensitive...wanaona it is ok.

Bongolander ...kuwa gender sensitive siyo kukosa hoja.
I am sure kuna watu wengi bado wanafikiri kwamba wanawake kazi yao ni kukaa jikoni tu.

Mi nadhani kwa dume zima kuwa gender sensitive ni sign ya ugay....
 
Gender issues are issues, concerns and problems arising from the different roles played by men and women in society. They are also issues, concerns and problems that arise from questioning the relationship between women and men. They are concerns that arise when an instance of gender inequality is recognized as undesirable or unjust.
Gender as an ideology. Aside from functioning as a property of language, it also functions as an ideology. It functions as a means of social control and as a maintainer of social distance. This explains why, when we are asked to wash dishes for example, who do we usually expect to wash dishes at home? The girls, although sometimes boys are asked to do that. But because of gender ideology, girls are obligated to wash dishes. And if boys are obligated to wash dishes it's really up to them.
(Sourcehttp://www.teenfad.ph/library/fadsource/gender.htm)
 
Mama Lao i am sorry i am not a believer of affirmative action. Kumpa nafasi mwanamke eti kwa sababu ni yeye mwanamke mimi naona ni kama kumtukana, haina tofauti na kumuona mwanamke kama ni mtu wa jikoni (ambayo ni dharau kubwa zaidi). Sasa hivi wanawake ingawa (si wengi) wana uwezo wa kuingia kwenye sehemu yoyote by merit.
Unajua mambo ya kuwapa dada zetu vitu vya bure ni sawa na kuwadhalilisha na kuwatukana, inakuwa ni sawa na kumuhonga ili upate kitu fulani. Hizi ideas za TAMWA kuingilia mambo ya professionalism hazifai. Sasa hivi ukiangalia utaona kuna wanawake ambao wanamafaniko kwenye bishara, siasa, jeshi and they all sweat their way up, na wale waliokwenda huko kwa jicho la "gender sensitivity" they do not last.
The best way ni kuleta mazingira ya kutufanya oste tuwe na uwezo wa kwenda pamoja, na sio kuwafanya wengine wasindikizaji, au kuwaingiza kwenye timu kama symbol of unity or gender sensitivity.
Mzalendo nakubaliana na wewe, unapointi nzuri sana.! kama hali ya UD ndiyo hiyo, na hakuna hata mmoja aliyetoka mlimani na kwenda huk TRA,then something is wrong somewhere, which needs to be addressed!
 
Hivi mtu aki-graduate BCom UD, ndio maana yake waende TRA? Kwani kuna nini huko TRA?

Nafasi 12 ni ndogo sana ku-question women representation.
 
Hivi mtu aki-graduate BCom UD, ndio maana yake waende TRA? Kwani kuna nini huko TRA?

Nafasi 12 ni ndogo sana ku-question women representation.

Kisura,
TRA wanaajiri Watz wengi tu, Graduates toka sehemu nyingi Tanzania and beyond. TRA ndo Authority kisheria kukusanya kodi Tz.


In TRA top managemnt kuna 12 directors. Kati ya hawa 12 directors- hakuna hata mmoja ambae ni mwanamke! 100% ya hawa directors (angalia tena majina mwanzoni) ni wanaume. Hii ndoo hoja yangu- sasa unasema 12 positions ni kidogo sana? Huenda akina mama wako ktk sehemu za chini za TRA- but not in top decision making!

Gender lens- mimi naona it is not fair- kwani wako wanawake wengi tu TRA who qualify in top management.

This is the basis of discussion ragardless hao wafanyakazi TRA wamesoma wapi!
 
Kisura,
TRA wanaajiri Watz wengi tu, Graduates toka sehemu nyingi Tanzania and beyond. TRA ndo Authority kisheria kukusanya kodi Tz.


I know What TRA is. What I meant to say is, why should WOMEN BE IN TRA and not somewhere else, why question representation in TRA???? Kwani kuna nini huko? We have lots of places where women in Management are very few, if not present at all.

In TRA top managemnt kuna 12 directors. Kati ya hawa 12 directors- hakuna hata mmoja ambae ni mwanamke! 100% ya hawa directors (angalia tena majina mwanzoni) ni wanaume. Hii ndoo hoja yangu- sasa unasema 12 positions ni kidogo sana? Huenda akina mama wako ktk sehemu za chini za TRA- but not in top decision making!


The point is, there few Women who can hold those positions, you and I both know that. Sasa hata tukisema kila management iwe na mwanamke, tutawapata wapi hao kina mama, kuna vitengo bado vitabaki bila kuwepo na representation ya kina mama.
Kuzungumzia nafasi 12, ni kusema kuwa, zingekuwa nafasi kama 40-50 and so on, then may be tungeweza ku-question, but 12 positions? I personally would not concern myself. Ukweli utabaki palepale kuwa, nafasi nyingi kwa sasa zitakuwa na wanaume zaidi ya kina mama, for obvious reasons.

This is the basis of discussion ragardless hao wafanyakazi TRA wamesoma wapi!
Mzalendohalisi, on your previous post, you said,
“…Faculty of Commerce and Management- UD and MU na kwingineko wamekuwa pia wakigraduate wanawake tangu 1970s! Leo ni 2007 over 35 years- je vipi inawezekana kweli in Managemnt of TRA hakuna hata mwanamke mmoja?

You are the one who came with example za wanafuzi waliosoma UD, ndio maana nikauliza, hata kama wame-graduate from UD, is that mean they have to work for TRA? Ndio swali langu lilipozaliwa hapa! And the answer is No! Wamemaliza BCom, and are probably working in different fields.
 
Kisura,
Sioni hoja yako hadi sasa!
Why at TRA (there is only one in Tz)- all 13 top management positions -there is no single woman? Kila mtu anajua wanawake wako sehemu zingine- kuna shida gani TRA? This is my central argument!

Hoja ya 13 positions are too few- (your suggestion of 40-50 positions ndo akina mama waonekane) is a very weak arguement kwani over 20% ya graduates in Tz are females for the past 30 years or so! Haiwezi kutokea kuwa na 40 or 50 management positions TRA makao makuu kwa miaka ya karibuni- it is not just practical!
 
Hivi, have you done research vizuri kuangalia vitengo vingine muhimu Tanzania viko represented na wanawake wangapi? If at all??? Kinachoshangaza nikwanini ume-single out TRA! Anyhow, maybe mimi na wewe tunaongea different language.

You think 12 positions is a red flag, fair enough. The facts presented does not support claim that kuna unfair representation, cannot be substantiated, not with 12seats! I happen to think otherwise(just me), as I said; I would not concern myself with that number. Not one bit! I agree to disagree.
 
Hivi, have you done research vizuri kuangalia vitengo vingine muhimu Tanzania viko represented na wanawake wangapi? If at all??? Kinachoshangaza nikwanini ume-single out TRA! Anyhow, maybe mimi na wewe tunaongea different language.

You think 12 positions is a red flag, fair enough. The facts presented does not support claim that kuna unfair representation, cannot be substantiated, not with 12seats! I happen to think otherwise(just me), as I said; I would not concern myself with that number. Not one bit! I agree to disagree.


Mi nadhani hapa kujustfy hiyo hoja, hebu tujue TRA kuna wafanyakazi wangaoi, kisha tuwapange kwa mafungu ya jinsia, kisha tuweke na factrs nyingine kama elimu nk, tufanye mahesabu kuona kama kutokuwepo wanawake katika 13 'decision making' positions kuna rise any alarms.

wataalamu wa mahesabu watusaidie hapo
 
Mbona katika baraza zima la mawaziri,60 kwa ujumla,na Mabalozi wetu nje,ma-PS,ma-RC pamoja na ma-DC,hakuna MLEMAVU hata mmoja na nobody is making any noise about it?Tunapotaka usawa basi usiishie kwenye jinsia pekee bali kwenye hata kutowatenga wenye disabilities zisizowazuia kuutumikia umma.Look at it,David Blanket,ex-Home Office Secretary wa UK,pamoja na upofu wake alipewa jukumu la kuongoza moja ya wizara ngumu ktk serikali ya UK.

Ni kweli kwamba wanawake wako under-represented katika medani ya uongozi,lakini WALEMAVU WAKO EXCEEDINGLY UNDER-REPRESENTED and OVERTLY DISCRIMINATED.
 
Mlalahoi,
I could not have agreed with you any better!
Inategemea na sera ya Walemavu ya nchi. China in public institutions sera 5% ya ajira lazima uwachukue pia watu walemavu- laa sivyo penalty kali! Kuna walemavu wengi tu wenye awezo kuliko 'able bodied'- disability is not inability- so it is not fair not be denied opportunities! Na lazima utenge nafasi kwa ajili yao- hakuna mtu anachagua kuwa mlemavu- it just happens!

Thanks for bringing this up!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom