Hakuna sugu katika mapenzi kila mtu atapata mjanja anayempenda uvumilivu,subira ni vitu muhimu katika mapenzi,watu wengi huona wenzi wao hawafai pale tu wanapo wakosea huamua kuwaacha lakini tu jiulize wewe hukuwahi kufanya kosa lolote katika maisha yenu.Hakuna aliyekamilika,kaeni jadilianeni kwa upole mtapata muafaka.