No one can undo what Mkapa did to this country (Tanzania)

Mtende

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
6,385
7,295
Watanzania hata mkisema mabaya kuhusu rais mkapa ukweli bado unabaki palepale kuwa makapa amefanya kazi kubwa sana ukizikingatia aliichukua nchi ikiwa katika mdororo mkubwa kiuchumi.

Enzi za mkapa thamani ya pesa ya kitanzania ilikua juu, vyombo vya habari vilikua na nidhamu, uongozi ulikuwa strict na matumizi ya serikali yalithibitiwa, safari zisizokuwa za maana hazikuwepo ukilinganisha na sasa bajeti inayoyumika katika safari za viongozi inatosha kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa serikali.

Kwa kifupi naweza kusema mkapa was a hardwork and inteligent as well as serious with his presidential position

Unajua hata maneneno ya kiongozi yanatakiwa yawe na busara, mfano speeech ya rais Kikwete kwa TUCTA kwa kweli sikutegemea kusikia maneno ya kashfa yakitoka mdomoni wma kiongozi mkubwa wa nchi ambaye nchi nzima ilimtizama. Mfano maneno kama wanafiki, wazandiki, wana lao jambo, sielewi huo msemo upo kwenye taarab ama la ila kama rais akizingatia dhamana aliyopewa na wananchi hakupaswa kutumia maneno kama hayo.
 
Hi Tanzanian remember; GARBAGE IN GARBAGE OUT, Is this the choice of God? Tanzanians are harvesting what they seeded.

Mkapa the son of woman Bravo
 
Huyu ni lazima atakuwa mgalatia. Ni wagalatia tu wanakuwa na balls za kutetea fisadi kama Mkapa bila ya aibu. Hii ni ajenda ya kanisa tu.
 
maneno kama wanafki wazandiki wana lao jambo
usishangae mkuu, kaka mkubwa anatokea pwani.....hayo ndo maisha aliyokulia! ipo siku atasema watanzania 'mtajiju'....
 
Ukweli Mkapa kufufua uchumi alifufua, heshima ya watumishi na taaluma alirudisha. Awamu yake ya kwanza ilikuwa utumishi uliotukuka pamoja na makosa madomadodo. Kama alivyokuwa mzeeMwinyi aliingiwa na pepo au jini la tamaa lenye matusi kwa wanachi katika awamu ya pili, akausheheneza mbolea ufisadi.
Aliacha pesa nyingi hazina, kiasi JK aliona hazina kazi akaanza kugawa kwa maswahiba wake kwa jina la mabilioni ya JK.
Je kama marais wote huboronga awamu ya pili, je itakuwaje kati ya 2010 na 2015 kama JK akirudi?
 
Mtake msitake haya yote ni Matunda ya Che Nkapa, Though na yeye ana lawama zake awamu ya pili aliwaachia watendaji wake wakatafuna na kuiba pesa za walalahoi.
 
Mkapa's reign is divided into two phases, 1995-2000, and 2000-2005. Maybe from lack of public knowledge or whatever reason, the first phase of Mkapa was pretty successful. We all know the fall out during his second phase. The question is can his successes during his first phase excuse his fallout in the second phase? I believe nobody can undo what Mkapa did because Mkapa did that all by himself. Mkapa undid what Mkapa did.
 
Huyu ni lazima atakuwa mgalatia. Ni wagalatia tu wanakuwa na balls za kutetea fisadi kama Mkapa bila ya aibu. Hii ni ajenda ya kanisa tu.

Stop your stupid generalization. Kwa hiyo kila mtu anaye tetea ufisadi na ubovu wa Kikwete ni..........na ni agenda ya.........???
 
Remember Mkapa is Ivy League educated fella.
He went to Columbia just like Obama.
He's one of the finest politicians this nations has ever gifted to have. He's very well respected all over the globe. JK is also a good fella. If we give him time there's no doubt he'll deliver just like Big Ben.
 
Remember Mkapa is Ivy League educated fella.
He went to Columbia just like Obama.
He's one of the finest politicians this nations has ever gifted to have. He's very well respected all over the globe. JK is also a good fella. If we give him time there's no doubt he'll deliver just like Big Ben.
And both of them are big thieves.
 
Huyu ni lazima atakuwa mgalatia. Ni wagalatia tu wanakuwa na balls za kutetea fisadi kama Mkapa bila ya aibu. Hii ni ajenda ya kanisa tu.

Kumbe hata hapa JF kuna watu wenye mawazo finyu kama hivi?Kweli safari bado ni ndefu sana.
 
Mkapa's reign is divided into two phases, 1995-2000, and 2000-2005. Maybe from lack of public knowledge or whatever reason, the first phase of Mkapa was pretty successful. We all know the fall out during his second phase. The question is can his successes during his first phase excuse his fallout in the second phase? I believe nobody can undo what Mkapa did because Mkapa did that all by himself. Mkapa undid what Mkapa did.

Thanks Mwanafalsafa, Majority of people want us to believe that because of his economy revamp success,we are bound to exonerate him from wrong doing. Who says one right can nullify one wrong!
We all applaud what Mkapa did, absolutely. We also condemn his moral decay and dismal behaviour which has resulted in loss of millions of Tax payers money for his own gain or friends' favour.
The success is in one basket, the failure due to embezzlement and corruption is in another basket. These two things should never be confused, in fact the stupid people always cover Mkapa's alleged sins under his success. Prez Mkapa should tell us the truth, not to seek mea culpa in church as he is now used to. Mkapa is alleged to be the most corrupted leader in the history of our country, notwithstanding his remarkable economy revival.
 
Huyu ni lazima atakuwa mgalatia. Ni wagalatia tu wanakuwa na balls za kutetea fisadi kama Mkapa bila ya aibu. Hii ni ajenda ya kanisa tu.
Yeah ni fisadi ila 'Dr.Mkwere' (soma kwa makini kifungua na kifunga usemi) is a saint..CCM kweli mna mambo..
 
Mkapa's reign is divided into two phases, 1995-2000, and 2000-2005. Maybe from lack of public knowledge or whatever reason, the first phase of Mkapa was pretty successful. We all know the fall out during his second phase. The question is can his successes during his first phase excuse his fallout in the second phase? I believe nobody can undo what Mkapa did because Mkapa did that all by himself. Mkapa undid what Mkapa did.

In addition, even the part that Mkapa did not undo, i.e curbing inflation, controlling the forex rate, some semblance of discipline in government, Kikwete has pretty much undone.

So I wonder what this "No one can undo what Mkapa did to this country" is all about. Unless golder meant no one can undo the history that is already established .
 
Mkapa's reign is divided into two phases, 1995-2000, and 2000-2005. Maybe from lack of public knowledge or whatever reason, the first phase of Mkapa was pretty successful. We all know the fall out during his second phase. The question is can his successes during his first phase excuse his fallout in the second phase? I believe nobody can undo what Mkapa did because Mkapa did that all by himself. Mkapa undid what Mkapa did.

Yes, you said it. Thanks
Mkapa of the 1st 5 years was good , not because he wanted, but because he was pretty aware that Mwalimu was looking at his misdoings. And then the "nuisance" Mwalimu aka haambiliki passed away (RIP our Saint) that is when a new and real Mkapa was born. It is during this time that the new Mkapa undid the Old Mkapa ! No body will forget the NetGroup Solution Saga, The KIA international Airport plunder, the Tanzanite day light theft by South Africans, the Mwananchi and Meremeta thugs, the EPA syphony in corraboration with RA and JK, the TAKRIMA authorization; the calling of names of all who were trying to tell him the truth, the Jenerali Ulimwenga saga, Arkado Ntagazwa and all the rest who fell victim of his Monstrous anger! Who will forget the EOTF under her wife Anna? How can we forget about Kiwira so easily? The suffering of the people of Kyela and Rungwe due to the plunder of Kiwira Coal mine?
Was Mkapa not the chairman when he endorsed Kikwete despite all bad report of corruption presented to NEC by Mangula? How can Mkapa escape the blame of unlawful eviction of people in the mining ares accompanied by bad mining law and contracts? Should we like Mkapa for endorsing the killing of Dar port ? How can we forget the purchase of radr and millitary trucks under dubious and corupt conditions?
Mkapa, who sold NBC at a throw away price? Is it not Mkapa who killed TTCL and ATCL ?
He is a thug , PERIOD!
 
Watanzania hata mkisema mabaya kuhusu rais mkapa ukweli bado unabaki palepale kuwa makapa amefanya kazi kubwa sana ukizikingatia aliichukua nchi ikiwa katika mdororo mkubwa kiuchumi. Enzi za mkapa thamani ya pesa ya kitanzania ilikua juu,vyombo vya habari vilikua na nidhamu,uongozi ulikua strict na matumizi ya serikali yalithibitiwa,safari zisizokua za maana hazikuwepo ukilinganisha na sasa bajeti inayoyumika katika safari za viongozi inatosha kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa serikali.

Kwa kifupi naweza kusema mkapa was a hardwork and inteligent as well as serious with his presidential position

unajua hata maneneno ya kiongozi yanatakiwa yawe na busara,mfano speeech ya rais kikwete kwa tucta kwa kweli sikutegemea kusikia maneno ya kasfa yakitoka mdomoni wma kiongozi mkubwa wa nchi ambaye nchi nzimz ilimtizama.mfano maneno kama wanafki wazandiki wana lao jambo,sielewi huo msemo upo kwenye taarab ama la ila kama rais akizingatia dhamana aliyopewa na wananchi hakupaswa kutumia maneno kama hayo.
msisahau vile vile mauwaji ya wazanzibari, wasiopungu 500 ...bila ya yeye mauwaji yale hasingefanyika...:mad2:
 
Remember Mkapa is Ivy League educated fella.
He went to Columbia just like Obama.
He's one of the finest politicians this nations has ever gifted to have. He's very well respected all over the globe. JK is also a good fella. If we give him time there's no doubt he'll deliver just like Big Ben.

... Yes indeed. It is one thing to bloat oneself with the offspin of our tabloids in Tanzania, all the negative accolades agaisnt BWM and conclude thereafter, off-the-cuff, that the negativity is well placed. In the alternative, I dare say, you have to know the man as well. As for the latter, BWM shall remain a well respected statesman. Personally, I wish there had been an optional third term for him. That might have eradicated the present dudus!
What is happening in Tanzania right now, or rather all this USWAHILI we see everywhere is a direct consequence of the heinous subversion perpetrated by that Mswahili who became president after

Mwalimu when, in betrayal, he accepted nomination for the Presidency.
Had that man pledged what he was supposed to, JK would have had no locus to vie for the high office in 1995 and as such, that MTANDAO aspect which finally overpowered BWM in 2005 would have remained mere dreams of an unfit aspirant. In that manner, BWM reign might have been spared of the resultant nasties. All the looting in avrious forms which took place to place the current gang into high office.
 
Remember Mkapa is Ivy League educated fella.
He went to Columbia just like Obama.
He's one of the finest politicians this nations has ever gifted to have. He's very well respected all over the globe. JK is also a good fella. If we give him time there's no doubt he'll deliver just like Big Ben.

Wewe una lako jambo! Maslahi ya wahindi, si ya watanzania!
 
... Yes indeed. It is one thing to bloat oneself with the offspin of our tabloids in Tanzania, all the negative accolades agaisnt BWM and conclude thereafter, off-the-cuff, that the negativity is well placed. In the alternative, I dare say, you have to know the man as well. As for the latter, BWM shall remain a well respected statesman. Personally, I wish there had been an optional third term for him. That might have eradicated the present dudus!
What is happening in Tanzania right now, or rather all this USWAHILI we see everywhere is a direct consequence of the heinous subversion perpetrated by that Mswahili who became president after
Mwalimu when, in betrayal, he accepted nomination for the Presidency.
Had that man pledged what he was supposed to, JK would have had no locus to vie for the high office in 1995 and as such, that MTANDAO aspect which finally overpowered BWM in 2005 would have remained mere dreams of an unfit aspirant. In that manner, BWM reign might have been spared of the resultant nasties. All the looting in avrious forms which took place to place the current gang into high office.
They are all devils.....kwanza ni mtandao ule ule, whatever the good he did, it's because Mwalimu was watching then, someone said already!
 
usishangae mkuu, kaka mkubwa anatokea pwani.....hayo ndo maisha aliyokulia! ipo siku atasema watanzania 'mtajiju'....


hahahahahahaha....mbona hiyo cha mtoto?akisema mtajiju du noma huenda kaisema hiyo.
 
Back
Top Bottom