Bodi ya mikopo iweke orodha ya NO LOAN applicant ili watu wajipange Ku appeal,haiwezekani mtu uwe na vigezo vya kupata mkopo na usikopeshwe ukizingatia bajeti imeongezwa na idadi ya walioomba ni wachache ukilinganisha na mwaka jana,Wameshaonekana ni wasanii hawa bodi ya mikopo.Mimi lazima nita appeal na kwa wakati huohuo naomba HLSSF(WEZESHA WANAFUNZI YA CHADEMA) Nikipata siombi tena HESLB Maana SI YA WATOTO WA WAKULIMA.Wanajineemesha wao yani kukopeshwa tu inakuwa kero vp kama ingekuwa inatoa hizo pesa bure ingekuwaje?
Serikali hii vp mtu anasifa za kupata mkopo na yupo priority course lakini anakosa kukopeshwa........,Kwanza watu wenye sifa 4000 kukosa mkopo ni kisi gani?? Serikali haina uwezo huo kweli????Haifiki hata milioni 200 kwa mwaka.Hii ni kali sana Ngoja HLSSF-Ifunike heslb Serikali itaanza kuona ipo kisiasa.......
Serikali hii vp mtu anasifa za kupata mkopo na yupo priority course lakini anakosa kukopeshwa........,Kwanza watu wenye sifa 4000 kukosa mkopo ni kisi gani?? Serikali haina uwezo huo kweli????Haifiki hata milioni 200 kwa mwaka.Hii ni kali sana Ngoja HLSSF-Ifunike heslb Serikali itaanza kuona ipo kisiasa.......