Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Kwetu Iringa hii tunaita Lager,Kijana akiwa juu ya gari lililopakia kinywaji chenye viwango tofauti,Mfano ulanzi wa Leo leo tunauita MTONGWA,na ukilala siku moja kosa alc vol inaongezeka Unaitwa Mkangafu, Ukilala siku ya Pili hapo unaelekea kufafana na Konyagi Mwitu, Msafiri naomba Kutoa Hoja hivi haiwezekani hawa local Breweries kama hawa wa Tanangozi wakapewa nguvu flani au hata hawa Original TBLwa pale Karume waje wafungue Kiwanda cha Kusindika ULANZI kwa utaaalamu zaidi na kwa usafi maana hii malighafi huku kijijini ipo nyingi na huu ndio msimu wake, Wadau wa Kijijini Msafiri Safarini naomba Kutoka Hoja.