No control over Religious radio stations over hate speeches

Nalipenda sana kwa kua hua nikilisoma nikimaliza napata "stress" jinsi ndg zangu hawa walivyo shallow, **((miaka nenda rudi wao ni wa kulalamika tuuuuuuuuuu))**

Hapo kwenye alama.....Hakuna mahali duniani wote wakawa kitu kimoja kwa muda mrefu bila kuwepo malalamiko.
Nawe kama unafanya kazi hutofanya kazi kwa muda mrefu bila kulalamika japo katrip ka-abroad upewe kama ofisi yenu inazo hizo trips.
 
Hivi ndugu zetu katika Adam mna ajenda gani mpya mnayo iwaza kila kukicha mnaonewa hivi Mungu wenu mwenye kuneemesha nema ndogo ndogo na kubwa, na mazuri na mabaya yanatoka kwake yuko likizo?
Kama wewe ni muislamu thabit na sio kafir kinacho takiwa utamke ni Alhamdulilaah si zaidi ya hapo

Unamlaumu kiumbe mwenzio ambaye nae ni dhaifu mh; huo kweli si uislamu! Bali ni msiba Jamani

Waislamu hasa wale wa kulalama tumrudie Allaah na maamrisho yake kisha tumdai nema zake!

MUNGU NI MKUU!
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.

Hili gazeti lilitumika sana kipindi cha uchaguzi kuchafua Dr. Slaa ila hakuna aliyekemea. Mfano katika mojawapo ya magezeti hayo ilikuwa na picha za mafuvu ya binadamu huku likuwa na taarifa kuwa Dr. Slaa ni mwaga damu, alihusika kumwaga damu ya waislamu mwembechai na huko morogoro. Lilikuwa na makala ikiwataka wanawake wa kiislamu kuchagua chama kitakachojali maslahi ya waislamu.

Chakusangaza gazeti hilo halikuwa likionesha Wahariri wake ni kina nani, wala anuani nahata mchapishaji. Zilikuwepo tu number za simu za Zain kwa wenye kutaka kutoa maoni. Kilichonishangaza hakuna aliyejaribu kukemea. Sasa kama wamegeukia TBC1 serikali ione ni matokeo ya ilichopanda. Keshokutwa wataigeuka polis,bunge, na hata ikulu.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa upungufu wa elimu ya uandishi.wakasome media ethics na media law ili wafanye vitu vya uhakika.
 
Jamani hizi thread zingine !
Kwani nini maana ya ilmu?
Ili uonekane unayo ilmu ufanyeje?
Mbona mwatia aibu!
Vizuri kosoa kitu/jambo halafu unaweka fact zako.
Me nmesoma hizo madrasa nipo vzuri tu.
Sio lazima nifaham kila kitu...
Umen'chefua!!!!!!!!!!!!!!!!.

Maalim Pole naona mwenzetu ameghafirika akapitiliza, naomba umsamehe. VP binafsi unazungumziaje habari zinazo andikwa na An NUUR?
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.

Hawawezi fungiwa kwani wafadhili wao ni wale wale wa magogoni
 
ndugu zanguni watanzania huwa nasikitika sana kwa kuona taifa la mwalimu nyerere linaendelea kuwaka moto kwasabu moja kuu,kuwa na vyombo vya habari vya kichochezi hivi ndugu zetu waisilamu kwanini haswa kila kukicha mnasema mnanynyaswa na wakristo na mpo tayari kupigana ,ni kwa vipi mnanyanyaswa hatuwaelewi sie wapagani au mmekosa sadaka ya kugombania kanisani ndiyo maana mnakuwa na vyombo vya habari ambavyo havina vipindi vya kuelimisha,kikwete umeleta udini wakati wa uchaguzi haya ndiyo madhara yake.
 
Jamani wana jf,hivi mnasomaga an nuur? Wanaandika habari za kuchefua akili na za kichokozi sana.eti TBC1 wanapendelea wakristo,kwanini hawafungii gazeti hli la kichokozi? Badala yake wanaanndama mwananchi na mwanahalisi.so interesting.

utamu wa pipi inategemea na mlaji, kama unaona linakukera usisome, hayo yanayokufurahisha ww, wengine yana wachukiza, mie hulisoma na nalipenda hakuna mfano, na nikisoma tzdaima na mwanahalisi nahisi kichefukichefu zaidi yako, lakini kwa kuwa natambua tanzania kuna freedom ya kuongea na kuandika wala hayanihusu, nawe chagua lako ukienda kupekua umeyataka mwenyewe usilielie humu
 
nadhani wanaelimu ya madrassa only. yanapaswa kufungiwa. ushauri wa bure kwa waislamu..MKIONA TANGANYIKA PANAWAZINGUA, NENDENI ZENJI. KWANI KULE KUNA KINA MAIMUNA ,MWAJUMA,JUMA ,HUSSEIN,MUSTAFA WENGI TU AU MWENDE SUDANI YA KUSINI WAKISHA KABIDHIWA UHURU WA.
NIMESAHAU, ILI KWA KUWA NYIE MWAPENDA SANA MAHAKAMA YA KADHI NA SHARIA NA UMWAGAJI DAMU, NADHANI SOMALIA PATAWAFAA SANA NDUGU ZANGU,
MTAKUWA HURU KUJILIPUA NA MABOMU KAMA KAWAIDA YENU:boom::boom::boom:

Mshaurini jamaa huyu amwahi daktari wake wa mirembe! kabla hakujachwa.
 
kweli kabisa si kila gazeti utaliipenda na hii inatokana na interest zako mwenyewe.Waandishi wa annur ni wasomi hawabahatishi wala kuchakachua habari kwani wao wanamwogopa Mungu,sio kama hao mnaowataka nyie ambao ni wachakachuzi wa habari wakubwa.Kidogo mwanahalisi na raia mwema wanajitahidi.

malizia wana nia gani?, mi naona kila siku wanaandika malalamiko dhidi ya serikali na ukristo.+crap+crap+crap..................
 
Kuna uwezekano mkubwa wa upungufu wa elimu ya uandishi.wakasome media ethics na media law ili wafanye vitu vya uhakika.

hayo unayoyasema hawayahitaji, wanahitaji kutimiza matakwa ya aliyewatuma kazi, naye ni yule anayesababisha umwagaji damu kule afganistan, algeria etc usikome.
 
malizia wana nia gani?, mi naona kila siku wanaandika malalamiko dhidi ya serikali na ukristo.+crap+crap+crap..................
huo ndio uhuru wa kuongea mkuu, yapo magazeti yanayoandika majungu, yapo yanaandika uislam kila kukicha, kama unawaona hawakufai chagua hayo achana na hilo ANNUR, wenzio twalipenda, na twalielewa!HATUDANGANYIKI KAMWE, tutalidumisha na kuhakikisha linaendelea! HIZO CRAP ZAKO NDIO POINT KWETU
 
waandishi wa Alnur kutoka mhariri mkuu mpaka mchapaji ni wasomi wazuri wa ilimu ya madrasa, aidha gazeti hilo kwa siku linauza nakala zisizozidi 117 tanzania nzima. Aidha vyanzo vyake vya habari ni vijiwe vya kwenye kahawa vya shule ya uhuru, mbagala na tandika bila kusahau manzese. Hivi ushaliona gazeti hilo kwenye jamii ya waastaarabu? hivyo kwa kuwa swala la kupewa nafasi ya kujieleza hata kama ni upupu ni la kikatiba waache waandike, hilo gazeti halina athari yeyote maana idadi kubwa ya walengwa hawana muda wa kulisoma hivyo kubaki mezani na kurudishwa lilikotoka kufungia maandazi.
 
huo ndio uhuru wa kuongea mkuu, yapo magazeti yanayoandika majungu, yapo yanaandika uislam kila kukicha, kama unawaona hawakufai chagua hayo achana na hilo ANNUR, wenzio twalipenda, na twalielewa!HATUDANGANYIKI KAMWE, tutalidumisha na kuhakikisha linaendelea! HIZO CRAP ZAKO NDIO POINT KWETU
Wengi wa waliomo jamvini hilo ndilo wasilolifahamu! UHURU WA KUONGEA na pia HAWAJUI nini maana ya UHURU WA KUABUDU! Kisha wanajiita GREAT THINKERS!!! bado haitoshi wanataka kujiita wana-DEMOKRASIA!!!

Nikirejea kwenye mada:

Huwezi kusikia waislamu wanayasema magazeti kama Msemakweli na menzake yanayojulikana kwamba yanabagua na kueneza chuki dhidi ya wengine ama kwamba yamezidi kwa uzushi! Ila kwa sababu Waislamu wanajua wajibu wao na haki za wengine. Waislamu wamelelewa katika misingi ya kutumia fikra zao binafsi na si kutegemea akili za kuambiwa ama kujua wajibu wao ni nini na haki za wengine ni zipi. Ndio maana haikuwa taabu waislamu kumwita Mwalimu awe katika wao katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika! Ila hilo wapo baadhi ya watu wa dini zingine wanaojaribu kuwasahaulisha watu Historia ya Tanzania kwa unafki wao, ili mambo yaonekane kinyume na hali halisi ilivyokuwa... Iwe itakavyokuwa WAISLAMU WANAZIJUA HAKI ZAO na NI WAJIBU WA WOTE WANAODHANI KEKI YA TAIFA NI YAO PEKE YAO WALISAHAU HILO. KEKI YA TAIFA NI KWA AJILI YA WANATAIFA WOTE. Kila mmoja ajue kumheshimu mwenzake na amani itaendelea kuwepo...
 
waandishi wa Alnur kutoka mhariri mkuu mpaka mchapaji ni wasomi wazuri wa ilimu ya madrasa, aidha gazeti hilo kwa siku linauza nakala zisizozidi 117 tanzania nzima. Aidha vyanzo vyake vya habari ni vijiwe vya kwenye kahawa vya shule ya uhuru, mbagala na tandika bila kusahau manzese. Hivi ushaliona gazeti hilo kwenye jamii ya waastaarabu? hivyo kwa kuwa swala la kupewa nafasi ya kujieleza hata kama ni upupu ni la kikatiba waache waandike, hilo gazeti halina athari yeyote maana idadi kubwa ya walengwa hawana muda wa kulisoma hivyo kubaki mezani na kurudishwa lilikotoka kufungia maandazi.
Sihitajii kusema sana nawe! Ila uliza MSAUD ni kitu gani na waliokuwemo pale ni kina nani... kisha ndipo uanzishe huu upuuzi wako na kuuendeleza. Je wastaarabu ni watu wa aina gani kwa fikra zako? Je watu wastaarabu hubwia unga? Je watu wastaarabu huhalalisha kulawitiana? Je wastaarabu huruhusu ndoa za jinsia moja? Je wastaarabu huwapelekea wengine kuingia kwenye maafa? Je wastaarabu hukosa uvumilivu? Je wastaarabu hujipa haki na kuwaita wengine majina ya kuudhi? Je wastaarabu hutaka wengine wawe wanyonge wao wawe mabwana? Ukipata majibu ya maswali hayo utaujua ustaarabu wako ulikoegemea na kisha utajua nini ulichopungukiwa!
 
hayo unayoyasema hawayahitaji, wanahitaji kutimiza matakwa ya aliyewatuma kazi, naye ni yule anayesababisha umwagaji damu kule afganistan, algeria etc usikome.
ama UTU BUSARA UJINGA HASARA!! nukuu ya Shaaban Robert. Je waliosababisha damu zimwagike kuanzia Somalia, Afghan, Iraq, Sudan, Algeria na kwingineko hawajulikani!!? basi hata kama mkijitia uhamnazo msiokuwa nao Thailand, Korea na Vietnam nazo zilikuwa nchi za kiislamu? hata kama mnakula propaganda basi alau muwe na akili za kutembelea msizidi kupotea katika lindi la upumbavu mpaka mnauonesha!!
 
Naombea katiba mpya itenganishe dini na siasa!
ama utu busara ujinga hasara!! Nukuu ya shaaban robert. Je waliosababisha damu zimwagike kuanzia somalia, afghan, iraq, sudan, algeria na kwingineko hawajulikani!!? Basi hata kama mkijitia uhamnazo msiokuwa nao thailand, korea na vietnam nazo zilikuwa nchi za kiislamu? Hata kama mnakula propaganda basi alau muwe na akili za kutembelea msizidi kupotea katika lindi la upumbavu mpaka mnauonesha!!
 
Salaam wana JF,
sina nia ya kuanzisha uhasama wa kidini kwenye hii mada,
lakini palipo na ukweli ni lazima usemwe kwa faida ya jamii husika.

gazeti letu pendwa la An-Nuur silielewi lina mwelekeo gani kwa sasa na hususani toka kipndi cha uchaguzi mpaka sasa vuguvugu la katiba mpya. Ni siasa za uchochezi ndio zimetawala kati kurasa zote za gazeti, mara CHADEMA mara maaskofu wht is this?

kama kuna mtu amebahatika kulisoma hili gazeti la ijumaa tar. 14-20/1/1011, ataungana na mimi moja kwa moja kwamba hili gazeti limeacha msingi wake na kupapatikia siasa na uchochezi wa kidini badala ya mafundisho ya kidini kama tunavyotarajia.

waislam wengi hununua gaziti tukitarajia mafundisho angalau ya kiroho na mada za kifamilia, lakini hakuna kitu ni uchochezi wa kidini na siasa chafu kama vile ni gazeti la chama fulani cha siasa,
hayo pia yapo kwa ndg zetu Radio Imaan.

jamani vyombo vyetu vya habari vya kiislam ninani katuroga mpaka mmefika hapa mlipo? Sisi adui yetu mkubwa ni shetani na sio ukristo wala dini yoyote. Tufundisheni mafundisho ya Mtume na maadili mema ya dini sio siasa.

mwisho,
moto wa gazeti letu ni "Sauti ya waislam" . Kwa mtindo mlionao si sauti ya waislam wote, wengine sasa hatununui hilo gazeti maana hamna dini ni mambo yale yale tunayoweza kuyaona kwenye UHURU,MZALENDO,RAI,HABARI LEO na mengine...
Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.
Suleiman.
 
Mkuu mbona ulipandisha chart sana hili gazeti, hiki kipeperushi hakistahili kupoteza muda wetu kama great thinkers, ni sawa na toilet paper fulani. Kule kwetu ambako tunajisaidia machakani hiki kingefaa sana kusambazwa huko
 
Back
Top Bottom