View attachment 48680
Una la kusema?......
Halafu mtu anakuambia tulinde amani tusije tukafa....si bora nife nikiwa najaribu kutafuta suluhisho? hata nikikaa tu bila kufanya chochote nitakufa tu kwa style hii!!
Kwanza ni kudanganyika tukifikiria hapa tuna AMANI
Sijaelewa. WHO IS GOVERNMENT?