No Comment!

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
417135_340945292615683_100001006443463_961573_1814014181_n.jpg
Una la kusema?......

Halafu mtu anakuambia tulinde amani tusije tukafa....si bora nife nikiwa najaribu kutafuta suluhisho? hata nikikaa tu bila kufanya chochote nitakufa tu kwa style hii!!
 
Kwanza ni kudanganyika tukifikiria hapa tuna AMANI

Amani wakati watu wanajifia wenyewe??

Ni Mtanzania gani anayemudu gharama za maisha?

Ni wangapi wanaomudu Matibabu mazuri??

Ni wangapi wanamudu elimu nzuri????

Mtu anakuja kukudanganya eti "AMANI IMEJAA"...NONSENSE.....WHAT IS AMANI!!!
 
Back
Top Bottom