ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
Samahani wanaJF, mimi huwa natatizwa na neno Contractor! Ninavyoelewa mimi ni kwamba, Contractor ni mtu aliyeingia mkataba(contract) na mtu mwingine ama taasisi ama kampuni kufanya kazi fulani! Sasa je na mjenzi wa mradi wa nyumba ama barabara kwa kimombo tunaambiwa ana-construct (anajenga), na kazi aifanyao ni construction, Sasa swali langu ni kwamba kwa nini basi huyu tusimwite Constructor badala ya Contractor kama ambavyo tumezoea wengi kuwaita? Isn't it grammatically right?