Wewe Nape unataka watajwe? Wakitajwa muanze kuwatishatisha siyo? Kwa nini usisibiri muda watakaochagua wao wa kuachana na chama cha magamba? Vuta subira hata kama itakuwa 2015 acha pressure!!
majaji ya mahakama ya rufaa ndio kazi yao hata hizo ni kidogo kuna kesi zinakuwa na page hadi 3000 na wanasoma zote mstari kwa mstari na kuzitolea maamuzi!
Nape asubiri mvua zimunyeshee, Mbowe haitaji ushauri wake katika kuendesha CDM, kama analo la kushauri afanye hivyo kwa Magamba akianzana sababu za kuporomoka kwao na sio kumfundisha Mbowe cha kufanya. Mbowe kawatonya kwamba magamba yanaishi kwenye nyumba ya barafu; kazi kwenu kufanyia kazi dodoso hilo, kama hamtaki subiri gharika.
Nape anajua mtu kushushiwa heshima!! Basi akamfunde Mkapa anayeongea uzushi mbele ya hadhara na Kibajaji anayeharishia mdomo hadharani.
Mwisho yeye Nape alipotaka kuingia CCJ alitaja jina lake hadharani? Magamba tulia mnyolewe.
""Ninamshauri Mbowe aache kukurupuka na aache uongo, awataje hao anaowazungumzia na akiendelea na tabia ya aina hii itamshushia heshima,"alisema Nape na kuongeza;"Siasa za aina hii amuachie Dk Slaa kwani Mbowe yeye ni mwenyekiti wa chama na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni anaheshimika."
Kwa mtu mwenye akili timamu akisoma hiyo mistari hapo juu ataelewa vyema.
Kwa summary ni kwamba, mbowe anaheshimika............amuachie slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.