nmepotelewa na kitoweo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,482
54,839
196720_273969649380023_445974902_n.jpg

mia
 
dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........
 
dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........

Nadhani kalikuwa kanakusanya kasi ya kupaa!!Kalipokupita tu,kakapaa!!!
Itakuwa ngumu kumpata tena
 
Nikikusaidia kutafuta ujue nakuja kula, ntachangia chumvi, pilipili na thomu

njoo ule. tukimaliza nakuwekea wimbo wa mzee yusufu wa "Umekunywe soda yangu utanibeba leo, umekula vyangu leo utalala na mimi". mia
 
Mi mwembamba hivi ntakubeba ntakuweza! Nakula na nnateleza vilevile. Sasa tunaanza na supu ama tunam'banika?
njoo ule. tukimaliza nakuwekea wimbo wa mzee yusufu wa "Umekunywe soda yangu utanibeba leo, umekula vyangu leo utalala na mimi". mia
 
Mi mwembamba hivi ntakubeba ntakuweza! Nakula na nnateleza vilevile. Sasa tunaanza na supu ama tunam'banika?

Wembamba haujarisha. Kwani unanibeba mgongoni?. Mi huwa sio mzito coz nasimamia viwiko. hahahahaaaa...!!!. mia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom