figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,482
- 54,839
mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........
Mkuu unanyonyoa kamba ya kuchinja
dah....kumbe cha kwako.....kimenipita hapa sasa hivi....kiko kwenye speed ya 220kmp...........
Nikikusaidia kutafuta ujue nakuja kula, ntachangia chumvi, pilipili na thomu
njoo ule. tukimaliza nakuwekea wimbo wa mzee yusufu wa "Umekunywe soda yangu utanibeba leo, umekula vyangu leo utalala na mimi". mia
Kumbe wewe mambo yako kama ya wachina.
mbona hakina nguo mkuu ?
Mia. Mia mia.
Mi mwembamba hivi ntakubeba ntakuweza! Nakula na nnateleza vilevile. Sasa tunaanza na supu ama tunam'banika?
Nadhani kalikuwa kanakusanya kasi ya kupaa!!Kalipokupita tu,kakapaa!!!
Itakuwa ngumu kumpata tena
Wembamba haujarisha. Kwani unanibeba mgongoni?. Mi huwa sio mzito coz nasimamia viwiko. hahahahaaaa...!!!. mia
Wapi haki za wanyama? kanyonyolewa akiwa hai? we ndo uliye mng'oa Dr Uli kucha nn?