Katika maadhimisho ya Ijumaa kuu Askofu Mkuu kanisa Katholiki Jimbo la Arusha Josephat Lebulu alisema"...Matumizi ya mabavu ambayo hufanya makundi ya watu kukaa kwa siri na kupanga mbinu za kumwangamiza mtu asiye na hatia na wakati mwingine hata kuhonga mahakama zipotoshe hukumu dhidi ya wanyonge"Mwananchi 7th april 2012.
Hukumu ya Lema haikuwa ya haki.
ASANTE BABA KWA KUWA MKWELI NA MTETEZI WA HAKI KWA WANAKONDOO WAKO
Hukumu ya Lema haikuwa ya haki.
ASANTE BABA KWA KUWA MKWELI NA MTETEZI WA HAKI KWA WANAKONDOO WAKO