NMB yaipa serikali gawio la bilioni 7.9

Kevin.A

Member
Apr 3, 2012
12
4
Waziri wa Fedha,Dk William Mgimwa kwa niaba ya serikali amepokea sh 7.9 bilioni kutoka benki ya NMB ikiwa ni gawio la serikali kwa mwaka 2011 kama ilivoidhinishwa katika mkutano wake mkuu uliofanyika Juni 2, 2012.Gawio hilo lilitokana na serikali kumiliki asilimia 31.8 ya hisa katika benki ya NMB.

Akizungumza baada ya kupokea hundi hiyo jijini Dar es Salaam Dk. Mgimwa alisema, amefurahishwa na benki ya NMB kwa utendaji wake kwa kuwa mwaka 2010 iliweza kutoa sh bilioni 5.7 "Benki ya NMB inaonyesha dalili nzuri ya utendaji wake kwa kuwa ongezeko hili la mwaka 2011 la sh bilioni 7.9 kwa serikali ni ongezeko zuri na fedha hii iliyotolewa na NMB Imeweza kuichangia Serikali baada ya kupata faida kwa kuwa ni nyingi sana na itasaidia kuwalipa wafanyakazi wengi " alisema Dk.Mgimwa"

Aidha, aliipongez NMB katika juhudi zake za kuisaidia serikali kupitia shughuli mbalimbali za kupambana na umasikini na kuboresha maisha ya wananchi wenye mahitaji. Alisema anathamini mchango wa NMB katika ukusanyaji wa kodi unaofanywa kupitia matawi yake yaliyosambaa Tanzania nzimai.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa NMB, Bw. Mark Wiessing alisema NMB itaendelea kuleta huduma nafuu za kifedha kwa jamii ya kitanzania katika maeneo yote ya vijijini na mijini "NMB imeweza kufikia wateja wake nchi nzima,pia imeweza kulipa kodi kwa serikali,ndio maana NMB ni benki bora kwa Tanzania

Tukio hilo muhimu lilishuhudiwa na manaibu wawili wa wizara ya Fedha na Uchumi, Katibu mkuu wa wizara ya fedha na manaibu wake watatu, mweka hazina mkuu, wakuu wa wizara zingine pamoja na wafanyakazi wa NMB.


Source: Michuzi

Swali:
Je, Serikali ina chombo cha kufuatilia mapato halisi ya hii Bank?Kwangu mimi nahisi kama hili gawio ni dogo sana kwa serikali yenye hisa 31.8 kwenye NMB! Hainingii akilini kwa Waziri kuchekele na kutoa pongezi....
 
Source:Michuzi
Swali:Je Serikali ina chombo cha kufuatilia mapato halisi ya hii Bank?Kwangu mimi nahisi kama hili gawio ni dogo sana kwa serikali yenye hisa 31.8 kwenye NMB!Hainingii akilini kwa Waziri kuchekele na kutoa pongezi....
Kama NMB inatoa gawio linalokaribiana na kiasi tulichopokea kwa kuiuza NBC, bado tunaweza kushawishiwa kuwa kulikuwa na ulazima wa kuiuza banki ile?
 
Mkuu angalia kwenye soko la hisa la DSM bei ya hisa za sekta ya kibenki ni shs ngapi, halafu angalia kwenye kikao cha mwaka wenye bodi ilipendekeza shs ngapi kama gawio. kumbuka wanahitaji fedha kupanuka na kuwekeza kwenye teknolojia
Source:Michuzi

NMB YAIPA SERIKALI GAWIO LA BILIONI 7.9

Waziri wa Fedha,Dk William Mgimwa kwa niaba ya serikali amepokea sh 7.9 bilioni kutoka benki ya NMB ikiwa ni gawio la serikali kwa mwaka 2011 kama ilivoidhinishwa katika mkutano wake mkuu uliofanyika Juni 2, 2012.Gawio hilo lilitokana na serikali kumiliki asilimia 31.8 ya hisa katika benki ya NMB
Akizungumza baada ya kupokea hundi hiyo jijini Dar es Salaam Dk. Mgimwa alisema, amefurahishwa na benki ya NMB kwa utendaji wake kwa kuwa mwaka 2010 iliweza kutoa sh bilioni 5.7 "Benki ya NMB inaonyesha dalili nzuri ya utendaji wake kwa kuwa ongezeko hili la mwaka 2011 la sh bilioni 7.9 kwa serikali ni ongezeko zuri na fedha hii iliyotolewa na NMB Imeweza kuichangia Serikali baada ya kupata faida kwa kuwa ni nyingi sana na itasaidia kuwalipa wafanyakazi wengi " alisema Dk.Mgimwa"

Aidha, aliipongez NMB katika juhudi zake za kuisaidia serikali kupitia shughuli mbalimbali za kupambana na umasikini na kuboresha maisha ya wananchi wenye mahitaji. Alisema anathamini mchango wa NMB katika ukusanyaji wa kodi unaofanywa kupitia matawi yake yaliyosambaa Tanzania nzimai.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa NMB, Bw. Mark Wiessing alisema NMB itaendelea kuleta huduma nafuu za kifedha kwa jamii ya kitanzania katika maeneo yote ya vijijini na mijini "NMB imeweza kufikia wateja wake nchi nzima,pia imeweza kulipa kodi kwa serikali,ndio maana NMB ni benki bora kwa Tanzania

Tukio hilo muhimu lilishuhudiwa na manaibu wawili wa wizara ya Fedha na Uchumi, Katibu mkuu wa wizara ya fedha na manaibu wake watatu, mweka hazina mkuu, wakuu wa wizara zingine pamoja na wafanyakazi wa NMB.



Swali:Je Serikali ina chombo cha kufuatilia mapato halisi ya hii Bank?Kwangu mimi nahisi kama hili gawio ni dogo sana kwa serikali yenye hisa 31.8 kwenye NMB!Hainingii akilini kwa Waziri kuchekele na kutoa pongezi....
 
Ingeuzwa kama serikali ilivyokuwa imepanga hiyo miaka ya nyuma, haya matunda tungepata? pengine wakati umefika kuangalia jinsi serikali inavyoweza kurejesha ubia wake kwenye maeneo nyeti kibishara na kihuduma (strategic areas)
 
And you can get that amount from dividends in 2 years? I know that by that time the value of 15 bn isn't the same today, but we were surely cheated somewhere, and I still believe that there was no gain in selling NBC.

Tanzania has got no leaders but people with "dehydrated mind" who tries to lead others!! What do you expect in such kind of leadership guys? Ever since independence, nothing hopeful can be demonstrated as our pride. Everything is in slogan even sensitive matters. In such a situation, I dare to profesy that, under the leadership we have recently, we wont go anywhere economically. Think about "coward learders"
 
Kwenye kikao cha bajeti kilichoanza leo, tunataka waziri wa fedha atueleze serikali inategemea kupata shilingi ngapi kutoka hisa za serikali ndani ya makapuni kama:- NBC Sigara TBL NMB Twiga cement Simba cement Mbeya cement Airtel N.k. Pia tunataka serikali itupe hesabu tunayopata kutoka makampuni yanayomilikiwa na serikali kwa asimia 100% kama:- Tume ya mawasiliano Tanapa Insurance Supervisory Authority TBS Wakala wa majengo Bandari Benki kuu Benki ya posta Benki ya rasilimali Mamlaka ya viwanja vya ndege Soko la hisa RITA EWURA TRA SUMATRA BRELA N.k. Tunataka serikali itueleze kwa muda wa miaka 10 iliyopita ilipokea kiasi gani cha fedha kutoka kila kampuni na zilitumika vipi.
 
Nani wakujua mapato halisi? Tuliambiwa na Mkapa hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuongoza NMB
 
Ilipokuwa 100 kwa 100 "mali ya umma" ilikuwa mpaka yenyewe isaidiwe. Halafu bado mijitu inashikilia kusifia mfumo mbovu wa "mali za umma" uliokuwa hauna faida yoyote kwa Taifa.
 
hizi hela wanawapa za nini bora wangezipeleka kwa wateja wake wanaosota na mikopo bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom