LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
NMB wabahili sana ukiwaambie waweke cctv wanakataa ooh eti ghrama, sio wao tu hata bank kadhaa, wanagoma kabisa!!
NMB wabahili sana ukiwaambie waweke cctv wanakataa ooh eti ghrama, sio wao tu hata bank kadhaa, wanagoma kabisa!!
Pengine huko ndiko fedha chafu hupitishwa.
Huko ndio kwenye wateja wenyewe kitu cha msingi ni kuhakikisha usalama unakuwa sehemu zoteHizi benki kusogezwa karibu na wananchi inatakiwa na ulinzi pia kuongezwa. Ni risk kuweka benki Mbagala au Temeke
.....inasikitisha ...mafanikio dhidi ya ujambazi ndio vita pekee aliyobaki anajivunia nayo kijana jk...kuwa amefanikiwa...sasa kama na hili litamshinda atabaki na nini...
tunasikitikia vifo kwanza vilivyotokea,vya askari wetu na wananchi ..hasa askari wanaolinda benki katika zama hizi kwenye mazingira magumu bila kupewa hata mavazi ya juu bullet prooof...wangekuwa nazo pengine wangeepuka kifo....
inashangaza tukio limetokea jirani na tukio la polisi changombe.....ni vigumu hata kufikiria kusema IGP afikirie upya mfumo wake au ajiuzulu.Si mnajuwa IGP ni semejiii kabisa wa KIKWETE ....yaani kaoa damu damu..baba moja!!!...sasa hapo itabidi tumeseme kishkaji..tu ...[eeh bwana IGP jitaidi bwana ...panga safu yajo na angalia formation na war strategies zako ,si unajuwa angekuwa mwenzangu na mimi ukizingatia na mauwaji ya tarime daily ungekuwa huna kazi???? usituangushe ...shemejiiiiiiii]
labda nimeongea kitu kigumu kukielewa......zile picha unazoziona kabul na baghdad unafikiria zinachukuliwaje? nenda kule liveleak.com uone clip za wanaojua kutumia simu za mkononi kurusha habari......Yoyo nadhani hauelewi ama haujui unachokiongea au you are out of your mind. Iweje risasi zinawaka wewe una unapiga video yako... Hiyo siyo kabumbu elewa ni risasi. Umeambiwa askari wenye silaha za moto wamelala chini ama wameuawa ama kujeruhiwa, iweje mtu ni kijicelular chacke?
Anyway unawapa hongera kwa kutenda maovu, inaelekea na wewe ni mwanachama
labda nimeongea kitu kigumu kukielewa......zile picha unazoziona kabul na baghdad unafikiria zinachukuliwaje? nenda kule liveleak.com uone clip za wanaojua kutumia simu za mkononi kurusha habari......
unabadili badili mijina unajaza server.....zuzu wewe
unabadili badili mijina unajaza server.....
,Hali itakuwa shwari pengine baada ya uchaguzi kwisha
soma PM kwenye jina lako lile lingine......nasikia nyama hatari ndani ya nyumba?thibitisha nimebadili jina...
kwani cctv shiling ngapi? yaani kama mtu kama mie nina cctv gheto iweje NMB washindwe?Hivi kwa nini bank zetu hazina CCTV? mbona ni kitu rahisi sana?
soma PM kwenye jina lako lile lingine......nasikia nyama hatari ndani ya nyumba?