Shukuru
JF-Expert Member
- Sep 3, 2007
- 748
- 15
Jamani kuna mtu kanipigia simu kuwa bank NMB ya tawi la temeke maeneo ya Mwembeyanga limevamiwa..
je kuna ukweli kuhusu hili na kama kuna mtu aliye karibu na eneo la tukio Plz bring news to us maana nasikia mapambano kati ya polisi na majambazi bado yanaendelea
je kuna ukweli kuhusu hili na kama kuna mtu aliye karibu na eneo la tukio Plz bring news to us maana nasikia mapambano kati ya polisi na majambazi bado yanaendelea
Last edited by a moderator: