MZALENDO NO.1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 302
- 134
Bora MME WEKA HUU UZI HAPA!!! KUNA KERO KUBWA SANA TAWI LENU LA MBAGALA!!! KUNA MADIRISHA NANE YA MATELLER YA KUHUDUMIA WATEJA, ILA KILA NIKIENDA HAPO MADIRISHA MATATU NDO YANA MATELLER NA MARA NYINGINE WANA WEKA KIBAO CHA HAWAPO KWA MUDA NA WATEJA WAPO LUKUKI, UNAWEZA KWENDA HAPO SAA NANE, UNAKAA HADI SAA KUMI NA MOJA HUJA HUDUMIWA, SASA NAOMBA KUULIZA, MMESHINDWA KUAJIRI MATELER WATOE HUDUMA KWA WATEJA!!! AU WANAO FANYA KAZI HAPO WANAFANYA HIVYO KWA MAKUSUDI ILI WAWE WANALIPWA OVERTIME AU VP!!! COZ KUNA VIJANA WENGI HAWANA KAZI, NIKIWA MMOJA WAO MIMI NIMESHAOMBA KAZI HAPO LAKINI HATA INTERVIEW SIJAWAHI KUITWA? TUELEZENI MBONA MSIWAAJIRI MATELLER WAKA WEPO KWENYE MADIRISHA ILI KUWAHUDUMIA WATEJA HARAKA HARAKA!!! AU MNADHANI WATU WANAVYOPOTEZA MUDA!!! WANAPOTEZA SHILLINGI NGAPI KWENYE BIASHARA ZAO??? NAOMBA JIBU TAFADHALINdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe &[HASHTAG]#8220[/HASHTAG];Siri&[HASHTAG]#8221[/HASHTAG]
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom