data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,726
.. jamani wataalamu wa uchumi tusaidieni sisi wananchi wanyonge kwa hili..
bank hii ilijitangaza kuwa ni ya wakulima..maana watu wa kipato au familia MASIKINI..(KAMA ANAVYOJIITA MH PINDA)... lakini saivi ni kinyume .. inafanya kazi kama benki nyingine za kibepari nchini.. sizitaji nafahamu kuwa mwazielewa..
Nasema kwasababu leo hii ukienda Nmb kama AC yako ina " LAKI MOJA NA ELFU NNE" 104,OOO Tsh wanadai eti huwezi toa laki, ila chako ni 90 elfu. sasa swali langu kwa wachumi? What is hapenin in TZ...?
bank hii ilijitangaza kuwa ni ya wakulima..maana watu wa kipato au familia MASIKINI..(KAMA ANAVYOJIITA MH PINDA)... lakini saivi ni kinyume .. inafanya kazi kama benki nyingine za kibepari nchini.. sizitaji nafahamu kuwa mwazielewa..
Nasema kwasababu leo hii ukienda Nmb kama AC yako ina " LAKI MOJA NA ELFU NNE" 104,OOO Tsh wanadai eti huwezi toa laki, ila chako ni 90 elfu. sasa swali langu kwa wachumi? What is hapenin in TZ...?