johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Kuna baadhi ya watu hudai kuwa benki ya NMB ni benki ya makabwela. kwa mtazamo wangu kabwela ni mtu mwenye kipato cha chini, hivyo benki hii iko kwa ajili ya watu wa kipato cha chini
Hata hivyo haina maana kuwa wanaotaka hivyo wako sahihi isipokuwa kadri siku zinavyokwenda nafikiri mara mbili juu ya huduma zinazotolew ana benkii hiyo inayobebwa na serikal kwa kuwalazimisha watumishi wake walimu kupitisha mishahara yao humo.
Benki yenye usumbufu mkubwa wa kupanga foleni ndefu na kulazimika kusitisha shughjuli nyingi za uzalishaji mali imekuja na "wizi" mpya.
Kwamba ukitaka kuweka fedha katika akaunti ya ya mtu au taaisis nyingine huna budi kula ada! yaani kjuweka fedha katika akaunti ya mtu mwingine huna budi kulipia shilingi elfu moja!, kazi kwelikweli.
kwa mtazamo wangu jambo hili sio sahihi, litawaumiza wengi na wengi zaidi watarejea kule tuliko toka, kuanzisha benki binafsi isyokuwa na makato ya lazima kiasi hicho. kwanza hata hizo fedha zenyewe za kuweka benki hazipatikani, kwnaini kuendelea na mfumo huu wa kibenki wa kinyonyaji
nawasilisha
Hata hivyo haina maana kuwa wanaotaka hivyo wako sahihi isipokuwa kadri siku zinavyokwenda nafikiri mara mbili juu ya huduma zinazotolew ana benkii hiyo inayobebwa na serikal kwa kuwalazimisha watumishi wake walimu kupitisha mishahara yao humo.
Benki yenye usumbufu mkubwa wa kupanga foleni ndefu na kulazimika kusitisha shughjuli nyingi za uzalishaji mali imekuja na "wizi" mpya.
Kwamba ukitaka kuweka fedha katika akaunti ya ya mtu au taaisis nyingine huna budi kula ada! yaani kjuweka fedha katika akaunti ya mtu mwingine huna budi kulipia shilingi elfu moja!, kazi kwelikweli.
kwa mtazamo wangu jambo hili sio sahihi, litawaumiza wengi na wengi zaidi watarejea kule tuliko toka, kuanzisha benki binafsi isyokuwa na makato ya lazima kiasi hicho. kwanza hata hizo fedha zenyewe za kuweka benki hazipatikani, kwnaini kuendelea na mfumo huu wa kibenki wa kinyonyaji
nawasilisha