Kama kuna waajiriwa au wakubwa wa NMB hapa, sio kwamba nataka kuiua biashara yenu ila nataka kuuliza.
Nipeni sababu yakuwa mteja wenu?
ATM foleni tena sio foleni ya watu kumi
Banking foleni hivyo hivyo
Card zenu huwezi kuchukua kwenye bank nyingine.
Ukitaka kwenda NMB umeshaanza kupata uvivu hata kabla hujaliona jengo la NMB
Kiufupi nikwamba NMB service zao ni poor kama nini.
Nashangaa watu wengi wanaipenda hii Bank wakati inajulikana kama bank ya karaha.
Nipeni sababu yakuwa mteja wenu?
ATM foleni tena sio foleni ya watu kumi
Banking foleni hivyo hivyo
Card zenu huwezi kuchukua kwenye bank nyingine.
Ukitaka kwenda NMB umeshaanza kupata uvivu hata kabla hujaliona jengo la NMB
Kiufupi nikwamba NMB service zao ni poor kama nini.
Nashangaa watu wengi wanaipenda hii Bank wakati inajulikana kama bank ya karaha.