nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Juzi katika mihangaiko yangu hapa jijini Dar es salaam ilinifikisha katika Bank NMB tawi la Bank House makutana ya Samora na Mtaa wa Pamba.
Nilipoingia ndani ya Bank nikashangaa kukuta watu kama mia moja hivi wakiwa katika foleni zisizotembea, na nilipochunguza nikagundua kulikua na madirisha ya huduma zaidi ya 10, lakini yanayofanya kazi ni madirisha 2 tu......moja kwaajili ya cash deposit na mengine kwaajili ya cash withdraw .
Bahati mbaya zaidi kwenye chumba cha Kuweka cha wateja wakubwa hakukuwa na Mfanyakazi na taa ilikua imezimwa.
Nikamfuata Meneja wao wa huduma kwa wateja kwakua nilikua na pesa nyingi za DEPOSIT na isingekua hekima kusimama nazo mda mrefu kwenye dirisha ambalo ni moja, na wakati huo kuna wateja wanasubiri, Alinijibu kirahisi kuwa atafuatilia kujua nini kinaendelea.
Kwa udadisi wangu , nilichogundua hiyo Benki inawatu wavivu , wasiojituma, wanaona raha kuona foleni ndefu .
Nampango wakuacha kuitumia hii Bank , maana naona wafanyakazi wake hawajajua thamani ya muda na kwakua NMB SI BABA YANGU ACHA NIENDE KWA BENKI ZINGINE.
Nilipoingia ndani ya Bank nikashangaa kukuta watu kama mia moja hivi wakiwa katika foleni zisizotembea, na nilipochunguza nikagundua kulikua na madirisha ya huduma zaidi ya 10, lakini yanayofanya kazi ni madirisha 2 tu......moja kwaajili ya cash deposit na mengine kwaajili ya cash withdraw .
Bahati mbaya zaidi kwenye chumba cha Kuweka cha wateja wakubwa hakukuwa na Mfanyakazi na taa ilikua imezimwa.
Nikamfuata Meneja wao wa huduma kwa wateja kwakua nilikua na pesa nyingi za DEPOSIT na isingekua hekima kusimama nazo mda mrefu kwenye dirisha ambalo ni moja, na wakati huo kuna wateja wanasubiri, Alinijibu kirahisi kuwa atafuatilia kujua nini kinaendelea.
Kwa udadisi wangu , nilichogundua hiyo Benki inawatu wavivu , wasiojituma, wanaona raha kuona foleni ndefu .
Nampango wakuacha kuitumia hii Bank , maana naona wafanyakazi wake hawajajua thamani ya muda na kwakua NMB SI BABA YANGU ACHA NIENDE KWA BENKI ZINGINE.