Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
Habari wana Jf!
Nahitaji vijana sita wenye taaluma mbalimbali,nawenye mitaji.
Lengo na madhumuni ilituunganishe mitaji yetu kwalengo lakuanzisha taasisi ya kutoa Elimu kwa wanafunzi wakitanzania wenyekiu na ndoto za kujiendeleza kimasomo kwa ngazi ya QT 1YR, FORM4,1yr, na 5&6 1yr.kituo hili kitakuwa kama tuition center lakini kitafuata taratibu na maadili yote yashule.
Na wanafunzi watavaa uniform husika kwa wale waasubuhi.
Hapa tutaweza kuajiri WALIMU wengi kulingana na idadi ya wanafunzi watakao kuwepo.
Wanafunzi watatafutiwa center zakufanyia mitihani ,mfano mwanza center n.k.
Mikakati zaidi itapangika baada ya kupatikana vijana wakuweza kuunganisha mitaji ,sio vijana tu hata wazee luksa.
Kuwaserious hapa hakuna utapeli .
Karibuni kwa MAWAZO yenu.
Nahitaji vijana sita wenye taaluma mbalimbali,nawenye mitaji.
Lengo na madhumuni ilituunganishe mitaji yetu kwalengo lakuanzisha taasisi ya kutoa Elimu kwa wanafunzi wakitanzania wenyekiu na ndoto za kujiendeleza kimasomo kwa ngazi ya QT 1YR, FORM4,1yr, na 5&6 1yr.kituo hili kitakuwa kama tuition center lakini kitafuata taratibu na maadili yote yashule.
Na wanafunzi watavaa uniform husika kwa wale waasubuhi.
Hapa tutaweza kuajiri WALIMU wengi kulingana na idadi ya wanafunzi watakao kuwepo.
Wanafunzi watatafutiwa center zakufanyia mitihani ,mfano mwanza center n.k.
Mikakati zaidi itapangika baada ya kupatikana vijana wakuweza kuunganisha mitaji ,sio vijana tu hata wazee luksa.
Kuwaserious hapa hakuna utapeli .
Karibuni kwa MAWAZO yenu.