Kwa vijana wa jiji la mwanza, wasomi ambao mko kwenye safari ya kutafuta kazi njoo tufanye hii kazi!
Ni tenda ya kufanya usafi wa jiji; tenda imetangazwa na jiji (ukipita mbao za matangazo ya jiji utaona tangazo).
Sasa swala zima limekaa hivi;
mimi pale kuna jamaa nafahamiana nae, na kaniambia kuwa nitafute wenzangu tuwe 10 ili twende kama kikundi. Kikundi kitafanyiwa usajili haraka wiki ijayo, then tutatuma proposal yetu. Nimeamua niwashirikishe vijana wenzangu sababu nayajua mnayopitia.
So, kama uko seriuos na we ni fighter unayeishi Mwanza, nichek kwa e-mail: sabinamayala@hotmail.com.
Hii ni kwa wale wenye diploma au degree katika social sciences, environmental studies and other related fields,
plus your comitment!
Ni tenda ya kufanya usafi wa jiji; tenda imetangazwa na jiji (ukipita mbao za matangazo ya jiji utaona tangazo).
Sasa swala zima limekaa hivi;
mimi pale kuna jamaa nafahamiana nae, na kaniambia kuwa nitafute wenzangu tuwe 10 ili twende kama kikundi. Kikundi kitafanyiwa usajili haraka wiki ijayo, then tutatuma proposal yetu. Nimeamua niwashirikishe vijana wenzangu sababu nayajua mnayopitia.
So, kama uko seriuos na we ni fighter unayeishi Mwanza, nichek kwa e-mail: sabinamayala@hotmail.com.
Hii ni kwa wale wenye diploma au degree katika social sciences, environmental studies and other related fields,
plus your comitment!